Kwanini mtu mweusi anaifluence kubwa sana kwenye muziki duniani?

Red Giant

JF-Expert Member
Mar 9, 2012
15,658
20,889
Duniani leo karibu kila aina ya muziki utakuta watu weusi wana mkono wao. Kama hawakuanzisha basi walichangia pakubwa kuanzishwa kwake. Na sehemu kubwa ni wamarekani weusi.

1.Raggae, huu mziki ni kama ni wa watu weusi tu. Wameanzisha na wanauendeleza.
2. Jazz, huu wa watu weusi.
3. Hip hop, huu kila mtu anajua umeanzishwa na watu weusi.
4. RnB
5. Blues, huu ni wa mablack na chanzo chake ni wao.
6. Country, huu ni mchanganyiko lakini watu weusi wana mchango mkubwa sana, hata kifaa kinachopendwa sana na waimba country, banjo, asili yake ni watu weusi.
7. Rock, huu ni aina ya muziki uliosambaa zaidi duniani na asilimia kubwa unafanywa na wazungu lakini asili yake ni mtu mwesi ukianza kama Rock n Roll. Waimbaji wa mwanzo wa Rock karibu wote walikuwa watu weusi.

Kwanini watu weusi wana influence kubwa sana kwenye muziki duniani?
 
Swali fikirishi, labda tunapenda starehe!

Nje ya mada kwanini mtu mweupe ana influence SANA, kwenye mambo ya fedha!

Everyday is Saturday............................... :cool:
 
Africa ni nyumbani ya muziki yote duniani,hii ilochangiwa toka Zama za kale watu baada ya kazi walikusanyika na kutwanga ngoma kwa style mbali mbali Kama burudani mida ya jioni huku walizunguka Moto na kubambiana kwa style za kudemka demka hii iliamsha morale na mzuqa
Huku walipata kisusio na kanyweso Kama ulanzi,ughimbi,mbege,kangala,
wanzuki,togwa nk
Hata kipindi watumwa wanapelekwa amerika walipokua wanapewa Muda wa kupumzika walikua wanaendeleza mtindo ule ule wa home ndio ukawa mwanzo wa kuzaliwa band
mbalimbali za miziki kutoka kwa blacks wakiimba harakati za kujikomboa mbaka now kutuimbia money,alcohol & bitches

You got me dude!
(In lil wayne voices)
😂😂😂😂😂😂



Nadanganya wadau?
 
Uvivu wakusoma sana au uvivu kupata elimu kubwa si unaona chanjo mpaka watutafutie huko sie huko kutwa kucha kugombeana madaraka
 
Shetani alikuwa kiongozi wa muziki mbinguni na alikuwa mpiga kinanda.Tutafute huenda tuna undugu naye!

Mtawala wa kwanza mwenye nguvu duniani alikuwa Nimrod. Nimrod alikuwa mtu mweusi.Inasemekana kutokana na nguvu aliyokuwa nayo ilipelekea Mungu kusambaratisha watu kwa kuwafanya washindwe kuelewana katika lugha na huo ndio ukawa mwanzo wa makabila yote duniani ambao walitawanyika baada ya project yao ya kujenga mnara kushindikana kutokana na kutoelewana katika lugha
 
Duniani leo karibu kila aina ya muziki utakuta watu weusi wana mkono wao. Kama hawakuanzisha basi walichangia pakubwa kuanzishwa kwake. Na sehemu kubwa ni wamarekani weusi.

1.Raggae, huu mziki ni kama ni wa watu weusi tu. Wameanzisha na wanauendeleza.
2. Jazz, huu wa watu weusi.
3. Hip hop, huu kila mtu anajua umeanzishwa na watu weusi.
4. RnB
5. Blues, huu ni wa mablack na chanzo chake ni wao.
6. Country, huu ni mchanganyiko lakini watu weusi wana mchango mkubwa sana, hata kifaa kinachopendwa sana na waimba country, banjo, asili yake ni watu weusi.
7. Rock, huu ni aina ya muziki uliosambaa zaidi duniani na asilimia kubwa unafanywa na wazungu lakini asili yake ni mtu mwesi ukianza kama Rock n Roll. Waimbaji wa mwanzo wa Rock karibu wote walikuwa watu weusi.

Kwanini watu weusi wana influence kubwa sana kwenye muziki duniani?
😂😂

Na watu weupe wana influence kubwa sana kwenye vitu vya maana na vyenye tija.. ..weusi wengi wao wametageti kwenye mambo ya kijinga hata watoto wao baadae wanakuja kurithi ujinga walioachiwa na wazazi.



🇦🇷🇦🇷🇦🇷🔥🔥
 
Music for black people

Basketball for black people

American football for black people

Riadha for the black people

Movie for the whites

Soccer for the whites
 
Duniani leo karibu kila aina ya muziki utakuta watu weusi wana mkono wao. Kama hawakuanzisha basi walichangia pakubwa kuanzishwa kwake. Na sehemu kubwa ni wamarekani weusi.

1.Raggae, huu mziki ni kama ni wa watu weusi tu. Wameanzisha na wanauendeleza.
2. Jazz, huu wa watu weusi.
3. Hip hop, huu kila mtu anajua umeanzishwa na watu weusi.
4. RnB
5. Blues, huu ni wa mablack na chanzo chake ni wao.
6. Country, huu ni mchanganyiko lakini watu weusi wana mchango mkubwa sana, hata kifaa kinachopendwa sana na waimba country, banjo, asili yake ni watu weusi.
7. Rock, huu ni aina ya muziki uliosambaa zaidi duniani na asilimia kubwa unafanywa na wazungu lakini asili yake ni mtu mwesi ukianza kama Rock n Roll. Waimbaji wa mwanzo wa Rock karibu wote walikuwa watu weusi.

Kwanini watu weusi wana influence kubwa sana kwenye muziki duniani?
simply kipaji. na hii hata mtu mweupe analifahamu.
 
Sio tu muziki hadi kwenye michezo.

Mwanasoka borawa muda wote ni Pele

Bondia bora wa wakati wote ni Muhamed Ali

Basket baller wa muda wote ni Michael Jordan

Tennis kuna akina Serena na dada yake

Golf kuna Tiger Woods

Riadha ndio usiseme
 
Bila kusahau style ya dance moves kutoka kwa bwana James Brown
Aisee sie waafrika tumejaliwa vipaji aisee JB ndio alikua loli modo wa Michael Jackson kwenye dancing mbaka akaanzisha moon walker style kutoka ile dance moves ya James Brown!
🕺🕴️
 
Duniani leo karibu kila aina ya muziki utakuta watu weusi wana mkono wao. Kama hawakuanzisha basi walichangia pakubwa kuanzishwa kwake. Na sehemu kubwa ni wamarekani weusi.

1.Raggae, huu mziki ni kama ni wa watu weusi tu. Wameanzisha na wanauendeleza.
2. Jazz, huu wa watu weusi.
3. Hip hop, huu kila mtu anajua umeanzishwa na watu weusi.
4. RnB
5. Blues, huu ni wa mablack na chanzo chake ni wao.
6. Country, huu ni mchanganyiko lakini watu weusi wana mchango mkubwa sana, hata kifaa kinachopendwa sana na waimba country, banjo, asili yake ni watu weusi.
7. Rock, huu ni aina ya muziki uliosambaa zaidi duniani na asilimia kubwa unafanywa na wazungu lakini asili yake ni mtu mwesi ukianza kama Rock n Roll. Waimbaji wa mwanzo wa Rock karibu wote walikuwa watu weusi.

Kwanini watu weusi wana influence kubwa sana kwenye muziki duniani?
Sababu kubwa rahisi ni UBAGUZI uliokuwepo US enzi hizo.

Kazi zote nyingine watu weusi walibaguliwa kufanya, kwahiyo kitu pekee walichobakiziwa ni Burudani.

Ndio maana wengi wakakomaa na kujijita na sekta ya Burudani hasa Michezo na Muziki.
 
watu weusi ni starehe na anasa ustaarabu ni sifuri na ndio maana toka enzi mtu mweusi huwekwa kwenye viburudisho vya makasiri ya kifalme.
 
Shetani alikuwa kiongozi wa muziki mbinguni na alikuwa mpiga kinanda.Tutafute huenda tuna undugu naye!

Mtawala wa kwanza mwenye nguvu duniani alikuwa Nimrod. Nimrod alikuwa mtu mweusi.Inasemekana kutokana na nguvu aliyokuwa nayo ilipelekea Mungu kusambaratisha watu kwa kuwafanya washindwe kuelewana katika lugha na huo ndio ukawa mwanzo wa makabila yote duniani ambao walitawanyika baada ya project yao ya kujenga mnara kushindikana kutokana na kutoelewana katika lugha
Kwahio hata watu weupe mwanzo wao ni hapa?
 
Back
Top Bottom