IamInLoveWithElders
Member
- Nov 18, 2016
- 55
- 43
Hili limekaa kibaiolojia, kisaikolojia au kidentist zaidi. Je ni kwanini baadhi ya watu huwashwa ama kuumwa na meno iwapo sinia au kitu cha bati kikisuguliwa kwenye mchanga?
Natumai wataalamu humu watatupa mwanga.
Natumai wataalamu humu watatupa mwanga.