mhu kwa wazee nakubali lakini vijana tena wenye uwezo wa kutengeneza elfu mbili kwa siku???? Sisemi elfu kumi sababu najua vyuma vimekaza ila hata mia tano ukidunduliza mwezi unaipata ya elfu 30.Wanaazima baba
mhu kwa wazee nakubali lakini vijana tena wenye uwezo wa kutengeneza elfu mbili kwa siku???? Sisemi elfu kumi sababu najua vyuma vimekaza ila hata mia tano ukidunduliza mwezi unaipata ya elfu 30.Wanaazima baba
Hahaa mwngne anataka aone picha moja,ila atafukunyua picha zote na mafile yote atamalizaKuna wengine wanaingia kwa gia ya kutaka kuona picha flan au video mara paap yupo watsup unauliza kwann anasema anajitafuta ajitumie picha flan kaipenda humo kwenye simu,kumbe nia ni kusoma comments za watsup
Ni ile unakuta mmekaa,afu mtu anasema eh simu yangu imeishiwa credit niazime bas yako nimpigie /nimtext mtu mara moja,huo mda wa kuandka namba apige ye anaanza kupekua cm,akimaliza ndo anafanya alichotakaHivi simu zinaazimwa? Siyo kama unaongea na ndugu halafu aliyekaribu anamfahamu ndo unasema hebu msalimie fulani? Enzi hizi kweli kuazimana simu?
Hahaa mwngne anataka aone picha moja,ila atafukunyua picha zote na mafile yote atamaliza
Mhu kaa mbali na hao watu. Kama hana credit mwambie akufulie nguo au asafishe uwanja wako umpe pesa siyo simu.Ni ile unakuta mmekaa,afu mtu anasema eh simu yangu imeishiwa credit niazime bas yako nimpigie /nimtext mtu mara moja,huo mda wa kuandka namba apige ye anaanza kupekua cm,akimaliza ndo anafanya alichotaka
Ni ulimbukeni ulichanganyika na ushamba.Mimi ni mmoja wa wanaochukizwa na tabia hii mtu akiomba simu yako kwa matumizi yoyote yalekKabla ya hajatimiza tumia anaenda kwenye faili la picha.
Najua wengi tunachukizwa na tabia hii.Kwanini mtu akiomba simu ataingia katika faili la picha kwanza Kkbla ya kufanya chochote kile?
Duuuh!! Kama umeniongelea, kilichopo kwenye simu yangu na Mimi nilivyo ni vitu viwili tofauti. Photo na SMS. Mungu nisamehe.Watakuja kukutana na picha zngne hazfai,wengne sura zetu ni innocent kabisa ila yaliyomo simuni hata shetani anaogopa
Ila bora anaekimbilia photo kuliko anaekimbilia messages au whatsapp yan hawa ndo wanakera mara mia
Haha mtu akishika simu yako atayokutana nayo inabidi akuangalie mara mbiliDuuuh!! Kama umeniongelea, kilichopo kwenye simu yangu na Mimi nilivyo ni vitu viwili tofauti. Photo na SMS. Mungu nisamehe.
Mhu kaa mbali na hao watu. Kama hana credit mwambie akufulie nguo au asafishe uwanja wako umpe pesa siyo simu.
Unabaki tu kumuitikiaNa hapo atakua anakuuliza maswali ya huyu nani anakaa wapi anafanya shughuli gani. Na ukute ni mtu unayemheshimu unashindwa hata kumnyang'anya simu