Kwanini mtoto wa kiume kioa/akitaka kuoa msichana/mwanamke aliyemzidi umiri wazazi hawafurahii?

Kwa culture ya Kiafrika hii haijakaa sawa, unless huyo mwanamke awe na figure yenye kuficha umri na awe tayari kudanganya hivyo.

lakini yote hayo ya nini hadi ukaoe mwanamke mwenye umri mkubwa zaidi yako, maana nijuavyo mimi mtoto wa kike hukomaa/hupevuka mapema zaidi kuliko mtoto wa kiume na hivyo kuanza kujihusisha vile vile na mambo makubwa kama mapenzi nk, ili hali huyu wa kiume wa umri sawa akiwa bado, sasa inapokuja swala la kutaka kuoa mke anayekuzidi umri tena mkubwa kama 10 yrs, kama ambavyo nimeona kwenye mifano huyo sasa mke ama mama ?

Ni kweli unaweza kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mwanamke anayekuzidi umri usiwe mkubwa, lakini swala la kuishi kama mume na mke ni haipendezi hata kidogo japo inatokea. N a mara nyingi mahusiano ya watu hawa basi walau mmoja wao hasa mwanamke awe mtu huru mfano, mjane, ama hakuwahi kuolewa nk.

Lisemwalo lipo vipi dada Sky Eclat, kuna watu wanakuwekea kikwazo sehemu kisa umri ama mwananao anataka kukuletea mukwe anayekuzidi, ila Kongosho anasema hawezi kulea mtoto then aleta mkwe/mkamwana wa kuamkiwa, kazi kwelikweli.
 
Last edited by a moderator:
Simkatazi ila wakaishi huko Unyanyembe waniache mie niishi huku Daslama

Mambo ya wao kuja kunitembelea sitaki, kisa cha kuwa naamka asubuhi na kusema "Shikamoo mkawana" siyataki kwa kweli. Afu ukute kaoa kizee kimepinda na mapenzi yake ya kisasa wanashikana shikana pale siting rum, no way.

In case wakizaa, wananitumia wajukuu waje kunitembelea.

Lisemwalo lipo vipi dada Sky Eclat, kuna watu wanakuwekea kikwazo sehemu kisa umri ama mwananao anataka kukuletea mukwe anayekuzidi, ila Kongosho anasema hawezi kulea mtoto then aleta mkwe/mkamwana wa kuamkiwa, kazi kwelikweli.
 
Kwa culture ya Kiafrika hii haijakaa sawa, unless huyo mwanamke awe na figure yenye kuficha umri na awe tayari kudanganya hivyo.

lakini yote hayo ya nini hadi ukaoe mwanamke mwenye umri mkubwa zaidi yako, maana nijuavyo mimi mtoto wa kike hukomaa/hupevuka mapema zaidi kuliko mtoto wa kiume na hivyo kuanza kujihusisha vile vile na mambo makubwa kama mapenzi nk, ili hali huyu wa kiume wa umri sawa akiwa bado, sasa inapokuja swala la kutaka kuoa mke anayekuzidi umri tena mkubwa kama 10 yrs, kama ambavyo nimeona kwenye mifano huyo sasa mke ama mama ?

Ni kweli unaweza kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mwanamke anayekuzidi umri usiwe mkubwa, lakini swala la kuishi kama mume na mke ni haipendezi hata kidogo japo inatokea. N a mara nyingi mahusiano ya watu hawa basi walau mmoja wao hasa mwanamke awe mtu huru mfano, mjane, ama hakuwahi kuolewa nk.

Lisemwalo lipo vipi dada Sky Eclat, kuna watu wanakuwekea kikwazo sehemu kisa umri ama mwananao anataka kukuletea mukwe anayekuzidi, ila Kongosho anasema hawezi kulea mtoto then aleta mkwe/mkamwana wa kuamkiwa, kazi kwelikweli.

Inaelekea katika culture za Kiafrika wazazi wana say kubwa katika maamuzi ya vijana wao, tatizo hawa vijana wenyewe wanapenda kuwashobokea waliowazidi umri, na wakati wanakuja wanakwambia 'age is just a number'. Ukweli ukifika, baba akija kumsalimia anamkaribisha kwa rafiki yake ambae hajaoa au anamke 'anaekubalika', baada ya muda unagundua kuwa ulikuwa unalea na kufunga nappy wakati akisubiri akue akaoe!
 
Hapo hakuna cha kufahia katika kuoa mwanamke aliyekuzidi umri! Wakati mwingine hutakiwi hata kuoa mnayelingana umri. Sababu kubwa niionayo mimi ni ukweli kwamba katika mazingira yetu ya kiafrika mwanamke kuwa mwanamke kunaambatana na majukumu mengi mazito (baadhi ya asili kama kubeba mimba na kuzaa) pamoja na mengine ya kiutamaduni/ya kimaisha.

Hivyo kwa asili binadamu yeyote kadiri umri unavyokuwa mkubwa huonekana ni mzee, ukiongeza majuku kama hayo itakuwaje? sasa
 
Hapo hakuna cha kufahia katika kuoa mwanamke aliyekuzidi umri! Wakati mwingine hutakiwi hata kuoa mnayelingana umri. Sababu kubwa niionayo mimi ni ukweli kwamba katika mazingira yetu ya kiafrika mwanamke kuwa mwanamke kunaambatana na majukumu mengi mazito (baadhi ya asili kama kubeba mimba na kuzaa) pamoja na mengine ya kiutamaduni/ya kimaisha.

Hivyo kwa asili binadamu yeyote kadiri umri unavyokuwa mkubwa huonekana ni mzee, ukiongeza majuku kama hayo itakuwaje? sasa

With advance technology wanawake sikuhizi wanaweza kuzaa katika umri wa miaka 50. Kuna wanawake ambao waliweka career mbele, sasa umefika wakati yuko 45, single anakutana na kijana wa 32 kijana amefika lakini wazai wanaleta zegwe.
 
Simkatazi ila wakaishi huko Unyanyembe waniache mie niishi huku Daslama

Mambo ya wao kuja kunitembelea sitaki, kisa cha kuwa naamka asubuhi na kusema "Shikamoo mkawana" siyataki kwa kweli. Afu ukute kaoa kizee kimepinda na mapenzi yake ya kisasa wanashikana shikana pale siting rum, no way.

In case wakizaa, wananitumia wajukuu waje kunitembelea.

Kuna vitu vingine vizuri tu havijaandikwa kwenye makaratasi kama sheria ila mioyoni vimeandikwa, hata wahusika wenyewe huwa hawoko huru hata kidogo, so hata usipowafukuza wenyewe tu watajifukuza na kutokomea wanapojua wenyewe mbali na jamii yao.
 
Kuna vitu vingine vizuri tu havijaandikwa kwenye makaratasi kama sheria ila mioyoni vimeandikwa, hata wahusika wenyewe huwa hawoko huru hata kidogo, so hata usipowafukuza wenyewe tu watajifukuza na kutokomea wanapojua wenyewe mbali na jamii yao.

Inamaana kuoa mke aliyekuzidi umri jamii itakunyanyapaa?
 
Inaelekea katika culture za Kiafrika wazazi wana say kubwa katika maamuzi ya vijana wao, tatizo hawa vijana wenyewe wanapenda kuwashobokea waliowazidi umri, na wakati wanakuja wanakwambia 'age is just a number'. Ukweli ukifika, baba akija kumsalimia anamkaribisha kwa rafiki yake ambae hajaoa au anamke 'anaekubalika', baada ya muda unagundua kuwa ulikuwa unalea na kufunga nappy wakati akisubiri akue akaoe!

Sio wazazi tu, bali hata wahusika wenyewe lazima mmoja wao ama wote huwa hayuko huru, unaweza kukuta hayo mahusiano yalianza kwa sababu ambazo zilikuwa nje ya uwezo wa mmoja wapo, mfano sababu za kiuchumi, na mara nyingi kwa mwanaume kuwa na uchumi mdogo nk, na ndani ya mapenzi yanakolea anaishia kuahidi each and every thing.

Sio kweli kwamba age is just a number kama wanavyosema ila hayo ni maneno tu ili mtu apate kile anachokitaka kwa muda huo, sema ndio hivyo tena on the way anaweza kukolea na kusahau kila kitu, lakini hakika moyoni nafsi daima huwa inaendelea kumsumbua juu ya hayo mahusiano aliyonayo na mwenzake, na hata kwa upande wa mwanamke pia, sema mapenzi bhana yakisha kolea huwezi kuyapa definition sahihi.
 
Inamaana kuoa mke aliyekuzidi umri jamii itakunyanyapaa?

Sio jamii kukunyanyapaa tu, bali hata ninyi wenyewe mnajinyanyapaa kwa kujitenga na jamii hasa pale age different inapokuwa kubwa sana kiasi cha kila mtu kuitambua hadi mtoto mdogo, hakika hata wahusika hawawezi kuwa huru hata kutambulishana kwa uwazi kwenye jamii zetu.
 
Sio wazazi tu, bali hata wahusika wenyewe lazima mmoja wao ama wote huwa hayuko huru, unaweza kukuta hayo mahusiano yalianza kwa sababu ambazo zilikuwa nje ya uwezo wa mmoja wapo, mfano sababu za kiuchumi, na mara nyingi kwa mwanaume kuwa na uchumi mdogo nk, na ndani ya mapenzi yanakolea anaishia kuahidi each and every thing.

Sio kweli kwamba age is just a number kama wanavyosema ila hayo ni maneno tu ili mtu apate kile anachokitaka kwa muda huo, sema ndio hivyo tena on the way anaweza kukolea na kusahau kila kitu, lakini hakika moyoni nafsi daima huwa inaendelea kumsumbua juu ya hayo mahusiano aliyonayo na mwenzake, na hata kwa upande wa mwanamke pia, sema mapenzi bhana yakisha kolea huwezi kuyapa definition sahihi.

Mtoto wa pekee war rafiki yangu alikuwa na mahusiano, hakuwahi kumpeleka nyumbani huyo dada, siku alipougua ghafla ilibidi mama yake apigiwe simu, alipofika anamkuta mka mwana kama mdogo wake wa pili hivi, kha mama kutahamaki, mkwe amemueleza kijana. Kijana amemwambia mama hili ndiyo chaguo langu, kama hutaki ninajiua. Mama imebidi akubali.
 
Sio jamii kukunyanyapaa tu, bali hata ninyi wenyewe mnajinyanyapaa kwa kujitenga na jamii hasa pale age different inapokuwa kubwa sana kiasi cha kila mtu kuitambua hadi mtoto mdogo, hakika hata wahusika hawawezi kuwa huru hata kutambulishana kwa uwazi kwenye jamii zetu.

Kuna kujimentain na kukeep figure, unakuta umri umekwenda tena mwanumbe wa 34 ndiyo anaonekana mzee kwa tumbo la bia, mdada wa 46 ndiyo gym na make-up kwa sana tu. Kama unampenda mtu hutaona aibu kumfahamisha kwa jamii.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom