Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,587
- 215,184
Ni mara nyingi nimewasikia kaka zangu wakihadithia kuwa, wazazi walipogundua mke wake/mchumba wake amemzidi umri hawakufurahia, wazazi wengine wanauliza, 'hukuona wasichana wadogo?'. Wazazi wanashindwa kuelewa kuwa mapenzi hayana umri.
Ni tofauti ya miaka mingapi inaweza kuwa kawaida ya kukubalika katika jamii?
Ni tofauti ya miaka mingapi inaweza kuwa kawaida ya kukubalika katika jamii?