Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,005
- 9,872
Hivi karibuni kumezuka hii tabia ya kuonekana mtu sio raia ikiwa ana mawazo tofauti na watawala.
Sasa je watanzania ni mambumbu, maana kila wakimuona mtu anafikiri Zaidi/tofauti wanashuku kuwa sio mtanzania.
Yaani inaonyesha watanzania wana aina Fulani ya kufikiri, sanasana ni kufuata tu, ukianza kufikiri tofauti na uraia wako unakoma. Niambieni watanzania wenzangu isije kuwa na mimi sio mtanzania.
Enzi za mwalimu nyerere ilikuwa ukiwa na mawazo tofauti unafukuzwa nchini, ilikuwa hivyo kwa Kambona, Kezilahabi nk.
Sasa je watanzania ni mambumbu, maana kila wakimuona mtu anafikiri Zaidi/tofauti wanashuku kuwa sio mtanzania.
Yaani inaonyesha watanzania wana aina Fulani ya kufikiri, sanasana ni kufuata tu, ukianza kufikiri tofauti na uraia wako unakoma. Niambieni watanzania wenzangu isije kuwa na mimi sio mtanzania.
Enzi za mwalimu nyerere ilikuwa ukiwa na mawazo tofauti unafukuzwa nchini, ilikuwa hivyo kwa Kambona, Kezilahabi nk.