Nyie watu hamchoki na mijadala feki? Mtanzania yoyote anaweza kuwa Mzanzibari akiamua inatakiwa akae Zanzibar kwa miaka 5 tu atapata Kitambulisho cha Mzanzibari Mkaazi. Maraisi 3 wa Zanzibar wana uhusiano wa moja kwa moja na Tanganyika. Mhe. Aboud Jumbe kwao ni Mji mwema na maekuwa Rais wa Zanzibar 1972 hadi 1984, Mhe Mwinyi wazazi wake wote wamezali Tanzania Bara na amekuwa Rais wa Zanzibar 1984 na Rais wa sasa Baba yake hakuwa Mzanzibar wa kuzaliwa na Rais wa Zanzibar. Hata wewe ulieleta hii mada ukuhamia Zanzibar leo upo uwezekano na kuwa Rais miaka 10 ijayo. Ikiwa uraisi unawezekana ardhi ni nini?. Wacheni fitina na uchonganishi