Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,086
- 4,881
Mtaa wa Congo upo Kariakoo Jijini Dar es Salaam Mtaa huu umekuwa Maarufu sana kwa Wingi wa Watu toka Mwaka 1920 mpaka leo.
Je, UMAARUFU wa Mtaa huo ni NINI?
Kwanini Muda wote una Watu Wengi Tofauti na Mitaa Mingine?
Je, kuna Biashara gani kwenye Mtaa huo inayokusanya Watu wengi kiasi hicho?
Je, UMAARUFU wa Mtaa huo ni NINI?
Kwanini Muda wote una Watu Wengi Tofauti na Mitaa Mingine?
Je, kuna Biashara gani kwenye Mtaa huo inayokusanya Watu wengi kiasi hicho?