Ozzie
JF-Expert Member
- Oct 9, 2007
- 3,217
- 1,259
Kwanini mshindane mpaka kupeana makovu? Dunia ni kuuubwa kutimiza ndoto za kila mmoja...
Utakuta mwanafunzi mchoyo hata anaficha vitabu anavyosoma ili wenzake wasifaulu zaidi yake... Watu wamehangaika kuandika vitabu ili tuifanye dunia mahali pazuri pa kuishi, wewe waficha hata kile walichoandika au kugundua wenzako utadhani unataka kugundua chako...
Ofisini jamaa anatamani nafasi ya mwenzake mpaka anaweza hata kwenda kwa Kalumanzira, atafanya lolote ili huyo boss asiwe na hiyo nafasi tena na labda yeye aichukue. Utadhani ndio hicho tu anaweza fanya duniani...
Kwanini tushindane? Dunia ni kuubwa kuturuhusu wote wenye nia kutimiza ndoto zetu...
Utakuta mwanafunzi mchoyo hata anaficha vitabu anavyosoma ili wenzake wasifaulu zaidi yake... Watu wamehangaika kuandika vitabu ili tuifanye dunia mahali pazuri pa kuishi, wewe waficha hata kile walichoandika au kugundua wenzako utadhani unataka kugundua chako...
Ofisini jamaa anatamani nafasi ya mwenzake mpaka anaweza hata kwenda kwa Kalumanzira, atafanya lolote ili huyo boss asiwe na hiyo nafasi tena na labda yeye aichukue. Utadhani ndio hicho tu anaweza fanya duniani...
Kwanini tushindane? Dunia ni kuubwa kuturuhusu wote wenye nia kutimiza ndoto zetu...