Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Na Thabit Jacob
Nimeangalia mahojiano kati ya @TZMsemajiMkuu na Salym wa @bbcswahili Jioni hii. Msemaji Amesema serikali ya awamu ya tano imeboresa sana uwazi kwenye sekta ya madini na mikataba. Huu ni upotoshaji na naomba niweke ufafanuzi na ukweli halisi. Thread
Kwanza kabisa, wananchi wengi hawafahamu mkataba wa Barrick na Serikali una nini ndani yake hasa. Mkataba wa Mwaka 2019, unajumuisha jumla ya Mikakata Tisa kusuhu vitu mbalimbali. @TZMsemajiMkuu amesema mikataba iko kwenye mjadala, sio sawa, Mikataba imeshasaniwa tayari.
Kwa faida ya wananchi wote, hii dio mikataba 9 ambayo serikali imesaini na Barrick.
1. Framework agreement
2. Management and administrative services
3. Twiga shareholders agreement
4. North Mara shareholders agreement
5. Buly shareholders agreement.
6. Buzwagi shareholders agreement
7. North Mara development agreement
8. Buly development agreement
9. Pangea development agreement
Mikataba hiyo yote ilisainiwa Ikulu, wabunge hawakupata nafasi yotote kuipitia, imebaki kuwa siri na wananchi hawajui chochote. Serikali inayo sema inajali uwazi kumbe inapenda usiri. Kama ni mikataba mizuri unaficha nini hasa! Kwa faida ya nani!
Lakini hili swala la usiri nilianza kabla hata ya Mkataba ma mwaka 2019. Mwaka 2018, Kamapuni ya Tanzanite one ilifikia makubalino ya kulipa serikali kiasi cha pesa kwa madai ya madini ya Tanzanite. Serikali ilikataa kabisa kuweka wazi kiasi cha fedha. Angalia hapa https://t.co/sDTRkNz3C5
Kuhusu hiyo ya Tanzanite One unaweza kusoma zaidi hapa (lugha ya mabeberu lakini) Prof Kabudi says Tanzanite One paid compensation following
Mwaka Jana, Waziri wa Madini akishiriki mkutano wa @EITIorg aliahidi Tanzania itaweka mikataba yote ya madini na gesi wazi. Lakini ahadi imekuwa Porojo. https://t.co/SDrR09wt5x
More than half of EITI countries have disclosed oil, gas and mining contracts! That is actually a big deal. Doto Biteko, Minister of Minerals from #Tanzania 🇹🇿 , and Minister Trotman of #Guyana 🇬🇾 announce that their governments will follow suit! at #EITI2019 @IsabelMunilla 👏 https://t.co/TvOhSL2YPh
Unaweza kusoma zaidi kusuhu ahadi hiyo ya kuweka mikataba wazi hapa. Ni muda sasa kwa wananchi kuuliza mikataba itawekwa wazi Lini?
Tanzania now set to disclose mining contracts
Kwenye mradi wa Bomba la Mafuta la Uganda-Tanzania, serikali imetoa misamaa mbalimbali kwa Uganda katika maeneo ya kodi, fidia na kazalika. Kuna mengine mengi lakini mkataba ni siri. Uganda walifurahi
https://t.co/gZo4Vz2uLA
I thank Tanzania for giving us concessions to use the Tanga route for the pipepline. In some areas, they allowed the pipeline to pass through road reserves thus cutting costs of compensation. https://t.co/WaOX1lwADf
Kipindi kile nilisema hilo ni tatizo la Kusaini mikataba nyuma ya pazia, bila bunge ambalo bahati mbaya limetekwa Prof Assad alivyosema. Waingereza wanasema Backroom Concessions.
https://t.co/e8ZmL7Pxmg
Transit fee, VAT and now compensation. Day by day details are emerging about backroom concessions. #EACOP https://t.co/aThhqeSRKX
Nimeangalia mahojiano kati ya @TZMsemajiMkuu na Salym wa @bbcswahili Jioni hii. Msemaji Amesema serikali ya awamu ya tano imeboresa sana uwazi kwenye sekta ya madini na mikataba. Huu ni upotoshaji na naomba niweke ufafanuzi na ukweli halisi. Thread
Kwanza kabisa, wananchi wengi hawafahamu mkataba wa Barrick na Serikali una nini ndani yake hasa. Mkataba wa Mwaka 2019, unajumuisha jumla ya Mikakata Tisa kusuhu vitu mbalimbali. @TZMsemajiMkuu amesema mikataba iko kwenye mjadala, sio sawa, Mikataba imeshasaniwa tayari.
Kwa faida ya wananchi wote, hii dio mikataba 9 ambayo serikali imesaini na Barrick.
1. Framework agreement
2. Management and administrative services
3. Twiga shareholders agreement
4. North Mara shareholders agreement
5. Buly shareholders agreement.
6. Buzwagi shareholders agreement
7. North Mara development agreement
8. Buly development agreement
9. Pangea development agreement
Mikataba hiyo yote ilisainiwa Ikulu, wabunge hawakupata nafasi yotote kuipitia, imebaki kuwa siri na wananchi hawajui chochote. Serikali inayo sema inajali uwazi kumbe inapenda usiri. Kama ni mikataba mizuri unaficha nini hasa! Kwa faida ya nani!
Lakini hili swala la usiri nilianza kabla hata ya Mkataba ma mwaka 2019. Mwaka 2018, Kamapuni ya Tanzanite one ilifikia makubalino ya kulipa serikali kiasi cha pesa kwa madai ya madini ya Tanzanite. Serikali ilikataa kabisa kuweka wazi kiasi cha fedha. Angalia hapa https://t.co/sDTRkNz3C5
Kuhusu hiyo ya Tanzanite One unaweza kusoma zaidi hapa (lugha ya mabeberu lakini) Prof Kabudi says Tanzanite One paid compensation following
Mwaka Jana, Waziri wa Madini akishiriki mkutano wa @EITIorg aliahidi Tanzania itaweka mikataba yote ya madini na gesi wazi. Lakini ahadi imekuwa Porojo. https://t.co/SDrR09wt5x
More than half of EITI countries have disclosed oil, gas and mining contracts! That is actually a big deal. Doto Biteko, Minister of Minerals from #Tanzania 🇹🇿 , and Minister Trotman of #Guyana 🇬🇾 announce that their governments will follow suit! at #EITI2019 @IsabelMunilla 👏 https://t.co/TvOhSL2YPh
Unaweza kusoma zaidi kusuhu ahadi hiyo ya kuweka mikataba wazi hapa. Ni muda sasa kwa wananchi kuuliza mikataba itawekwa wazi Lini?
Tanzania now set to disclose mining contracts
Kwenye mradi wa Bomba la Mafuta la Uganda-Tanzania, serikali imetoa misamaa mbalimbali kwa Uganda katika maeneo ya kodi, fidia na kazalika. Kuna mengine mengi lakini mkataba ni siri. Uganda walifurahi
https://t.co/gZo4Vz2uLA
I thank Tanzania for giving us concessions to use the Tanga route for the pipepline. In some areas, they allowed the pipeline to pass through road reserves thus cutting costs of compensation. https://t.co/WaOX1lwADf
Kipindi kile nilisema hilo ni tatizo la Kusaini mikataba nyuma ya pazia, bila bunge ambalo bahati mbaya limetekwa Prof Assad alivyosema. Waingereza wanasema Backroom Concessions.
https://t.co/e8ZmL7Pxmg
Transit fee, VAT and now compensation. Day by day details are emerging about backroom concessions. #EACOP https://t.co/aThhqeSRKX