GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,546
- 108,873
Kila Mtu alidhani kama baada ya sasa kuwa amerudi nchini mwake Uganda basi ndiyo ingekuwa sehemu sahihi na wakati muafaka kabisa kwa Msanii Bobi Wine kuwaelezea sasa Wananchi wa Uganda jinsi ya alivyoteswa na Wanajeshi wa Vikosi ' Maalum ' vya SFC lakini badala yake tokea arejee namwona ' analialia ' tu kama Mtoto na Mwendawazimu fulani hivi.
Naona Kosa la ' Kipopoma ' ambalo alilifanya Msanii wa Tanzania Roma Mkatoliki la kutokusema aina ya ' mateso ' aliyoyapata ' alipotekwa ' ndiyo analirudia na huyu ' Mnafiki ' Msanii Bobi Wine wa nchini Uganda. Hivi ni wapi sehemu sahihi ya kusema ' mateso ' yako kati ya ukiwa Ugenini Marekani au ukiwa Nyumbani Uganda?
Wanaharakati wa leo wa Afrika ni Wanafiki halafu ni ' Vibaraka ' wakubwa wa Wazungu ambao wanawatumia vibaya. Marais wote wa Afrika wangekuwa kama hawa Marais wangu ' Vipenzi ' kabisa Paul Kagame ( Rwanda ), Yoweri Museveni ( Uganda ) na Dr. John Magufuli ningefurahi mno na naamini hata ' Maendeleo ' ya Bara zima la Afrika yangepatikana kwa haraka kwakuwa Marais hawa ni Imara na ' hawatishwi ' na maneno ya Watu Wapuuzi / Mijitu Mipuuzi na badala yake wao ni mbele kwa mbele tu.
Nawasilisha.
Naona Kosa la ' Kipopoma ' ambalo alilifanya Msanii wa Tanzania Roma Mkatoliki la kutokusema aina ya ' mateso ' aliyoyapata ' alipotekwa ' ndiyo analirudia na huyu ' Mnafiki ' Msanii Bobi Wine wa nchini Uganda. Hivi ni wapi sehemu sahihi ya kusema ' mateso ' yako kati ya ukiwa Ugenini Marekani au ukiwa Nyumbani Uganda?
Wanaharakati wa leo wa Afrika ni Wanafiki halafu ni ' Vibaraka ' wakubwa wa Wazungu ambao wanawatumia vibaya. Marais wote wa Afrika wangekuwa kama hawa Marais wangu ' Vipenzi ' kabisa Paul Kagame ( Rwanda ), Yoweri Museveni ( Uganda ) na Dr. John Magufuli ningefurahi mno na naamini hata ' Maendeleo ' ya Bara zima la Afrika yangepatikana kwa haraka kwakuwa Marais hawa ni Imara na ' hawatishwi ' na maneno ya Watu Wapuuzi / Mijitu Mipuuzi na badala yake wao ni mbele kwa mbele tu.
Nawasilisha.