Donyongijape
JF-Expert Member
- May 28, 2010
- 1,497
- 811
Wana Jf, I stand to be corrected.
Binafsi sijamsikia mahali popote kiongozi wa kampeni kwa upande wa CCM mkoani Arusha akitoa walau pole kwa wafiwa, majeruhi au kwa 'Watani' zake CHADEMA. Hii ina maanisha nini?..
Je ni uadui au chuki alivyonavyo kwa watani zake na hivyo kukaa kwake kimya ni kama anafurahia?.? Au ni nini hasa?. Confused.
Binafsi sijamsikia mahali popote kiongozi wa kampeni kwa upande wa CCM mkoani Arusha akitoa walau pole kwa wafiwa, majeruhi au kwa 'Watani' zake CHADEMA. Hii ina maanisha nini?..
Je ni uadui au chuki alivyonavyo kwa watani zake na hivyo kukaa kwake kimya ni kama anafurahia?.? Au ni nini hasa?. Confused.