Thanda
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 1,915
- 596
Hivi jamani Huyu rais wetu "is his common sense common kweli"? hata Biblia inasema "Enyi wagalatia ni nani aliyewaloga? ikifanyika sensa watanzania tutakuwa Mil 48 and above, sasa anatuongozaje, Haya ndiyo maisha bora kwa kila mtanzania?Unawalinda mafisadi badala ya kuwatoa? Jamani mimi ni mpiga, namba ya kadi yangu Ni *45428905* kituo cha, Sekei, Jimbo la Arumeru Magharibi.(Ni mpiga kura halali na nitakuja kuitumia haki yangu kikatiba-kupiga kura kuwachagua watu watatu (Diwani, Mbunge, na Rais, period!!)
Sasa anatufikishia ujumbe gani kuhusu "Msamaha wa Mawaziri wake fisadi" wasing'oke? Ina maana wabunge wetu wote tuliowachagua wana "Taahira ya Ubongo?, Zitto Kabwe ni kichaa, au Tundu Lissu? Jamani mtasema hao ni CHADEMA, vipi kuhusu Deo Filikunjombe? Vipi hawa wabunge wengine wa CCM? Kwani pale bungeni hakukuwa na mawaziri wengine ambao wanayaona hayo madudu.
Tafakari Komavu: Maandamano yaliyotokea Uingereza unjua yalipoanzia? Watu waliji-mobilise vipi kama si huku kwenye mitandao?Hakuna somo lolote kwa mafarao wengine ambao leo hatunao?...Just 8 people unatoa kauli "NI UPEPO TU UTAPITA?" Unamtakia mema PM wako (Msemaji wa Serikali Bungeni)au unataka afe kabla ya siku zake? Mbona ulimchagua na tukamuunga mkono, tukashirikiana naye hata kwa Maombi, sala na dua zetu zote.....Haya Leo kapigiwa kura ya kutokuwa na imani naye...Inamng'oa yeye kwa lipi?.........Mheshimiwa rais naomba majibu kwani mimi ni mtanzania nina haki ya kuuliza na kujibiwa, na hapa sipigwi kofi kama lile la mwaka 1985.(rejea thread yangu:Nitaishitaki CCM Mahakamani).
PM akitaka kutoa maamuzi magumu UNAMZUIA, matokeo yake anakuja na kauli kuwa "NITATOA MSIMAMO KESHO" kwani usipokuwepo hana haki ya kufanya hayo maamuzi magumu?
Au ni Wagalatia sura ya 6, mstari wa 5 "Kila mtu atabeba mzigo wake mwenyewe?"
Mtakatifu Rais
Mtukufu Rais
Mheshimiwa Rais
Mwenyekiti wa CCM...Stoooooooooooooooooooooooooooooop, huo nao ni ufisadi unaoufanya.Kwa kauli yako ni kwamba unayapinga maoni, mawazo na ukweli ambao watanzania tunaujua, na Serikali ya CCM unayoiongoza itafia mikononi mwako kama ilivyokuwa U.S.S.R iliyofia mikononi mwa Mikhail Gorbachev mwaka 1991..akakimbilia kwa Bro. Bush
Namalizia kwa kuuliza kwa mantiki hii "Is our President Moralising Politics or Politisizing Morals?"
Wabunge wenzangu wa JF, naomba kuwasilisha hoja.
Sasa anatufikishia ujumbe gani kuhusu "Msamaha wa Mawaziri wake fisadi" wasing'oke? Ina maana wabunge wetu wote tuliowachagua wana "Taahira ya Ubongo?, Zitto Kabwe ni kichaa, au Tundu Lissu? Jamani mtasema hao ni CHADEMA, vipi kuhusu Deo Filikunjombe? Vipi hawa wabunge wengine wa CCM? Kwani pale bungeni hakukuwa na mawaziri wengine ambao wanayaona hayo madudu.
Tafakari Komavu: Maandamano yaliyotokea Uingereza unjua yalipoanzia? Watu waliji-mobilise vipi kama si huku kwenye mitandao?Hakuna somo lolote kwa mafarao wengine ambao leo hatunao?...Just 8 people unatoa kauli "NI UPEPO TU UTAPITA?" Unamtakia mema PM wako (Msemaji wa Serikali Bungeni)au unataka afe kabla ya siku zake? Mbona ulimchagua na tukamuunga mkono, tukashirikiana naye hata kwa Maombi, sala na dua zetu zote.....Haya Leo kapigiwa kura ya kutokuwa na imani naye...Inamng'oa yeye kwa lipi?.........Mheshimiwa rais naomba majibu kwani mimi ni mtanzania nina haki ya kuuliza na kujibiwa, na hapa sipigwi kofi kama lile la mwaka 1985.(rejea thread yangu:Nitaishitaki CCM Mahakamani).
PM akitaka kutoa maamuzi magumu UNAMZUIA, matokeo yake anakuja na kauli kuwa "NITATOA MSIMAMO KESHO" kwani usipokuwepo hana haki ya kufanya hayo maamuzi magumu?
Au ni Wagalatia sura ya 6, mstari wa 5 "Kila mtu atabeba mzigo wake mwenyewe?"
Mtakatifu Rais
Mtukufu Rais
Mheshimiwa Rais
Mwenyekiti wa CCM...Stoooooooooooooooooooooooooooooop, huo nao ni ufisadi unaoufanya.Kwa kauli yako ni kwamba unayapinga maoni, mawazo na ukweli ambao watanzania tunaujua, na Serikali ya CCM unayoiongoza itafia mikononi mwako kama ilivyokuwa U.S.S.R iliyofia mikononi mwa Mikhail Gorbachev mwaka 1991..akakimbilia kwa Bro. Bush
Namalizia kwa kuuliza kwa mantiki hii "Is our President Moralising Politics or Politisizing Morals?"
Wabunge wenzangu wa JF, naomba kuwasilisha hoja.