1.Siku zote yule ambaye maafa yata mkuta zaidi ndiye anaye takiwa kuchukua tahadhari, mwisho wa siku anaye umia ni mwanamke,mwanaume anarudi zake kwa mke wake.

2.Alafu kuingilia ndoa ya mtu mwingine unaweza ukasababisha ndoa kuvunjika na ukamfanya mwanamke mwenzako kuwa single mother.

So kwangu mimi masingle mother wanao zaa na waume za watu huku wakijua wana ndoa zao hawa stahili huruma.
Kabisa..... Kabisa mkuu umeweka sawa mada.... Safi sana.....
 
Still haibadilishi fact mkosaji mkuu ni mwanaume kwasababu ndio ametoka nje ya ndoa yake,amemimbisha mtu mwengine na kuna uwezekano pia amevunja ndoa yake na kumuacha mkewe single mother na hata huyo mwanamke wa nje single mother!!Acha kuangalia upande mmoja!
Tufanye upo right..... Haya mbona kuna single mothers hakuna single fathers.....?!
 
Huyu anatujaribu sisi sijui wanafikiria kila mtu katoka familia zisizo na discipline.....?!

Mngekua na discpline mngelichukulia hili tatizo wholly, kwa kuinclude descipline to both boys and girls, sio kuweka uzito kwa girls peke yake,hii inanifanya ni conclude kuwa sio ishu ya masingle mazas tu bali ni chuki yenu kwa wanawake, i expect to see you two kwenya mada zingine zinazoponda wanawake; single mazaz, wasioolewaa,walioachika..heheheheh tunawa zoom tuu
 
Tunza uanaume wako.Malaya sio wa kike tu hata wakiume.Kama single mother malaya na single father malaya pia
Umeshawahi kusikia mwanamke anasifiwa kwa kuliwa na wanaume wengi....?!

But umeshawahi kuona mwanaume analaumiwa kwa kutafuna mabinti wengi?!
 
Nadhani bibi dada umekuja kihisia zaidi na ukaweka logic pembeni wakati unaandika hizi hoja zako.

Hayo yote umeyataja hapo juu, hutokea katika mazingira ya uasherati na uzinzi.

Mwanaume always asie na maadili atafanya uasherati. Na mwanamke asie na mafunzo mazuri na kushika maagizo ya vitabu vya imani na kufuata taratibu za maadili katika kupata mwanaume wa kumfunulia mji wake wa uzazi lazima aingie katika maisha ya uzinifu.

Sasa unataka vipi hawa watuhumiwa wawili tuanze wajadili kwa misingi ya haki bin sawa....

Binti anapoamua kuiingia hii laana ya kuwa single mother ni maamuzi yake binafsi si maagizo ya jamii. Yeye ndie kataka.

Nionyeshe ni wapi au ni jamii gani huwa wanamwambia binti yao ajiingize katika kulala kimahusiano na wanaume anavyojisikia bila kufuata taratibu?!

Utaratibu upo wazi kabisa. Kama wewe ni binti anatokea mwanaume anakupenda anakuhitaji basi mwambie sawa wewe hauna shida, aende kwenu pale akajitambulishe na watamhoji na kumpatia utaratibu wa kufuata atakuchukua na mtafunga ndoa then muende kulana kwa raha zenu bila kujibanza banza guest huko na kwenye mapagala.....

Binti ndio anae ongoza kwa kuruhusu mwili wake kuwa chanzo cha mapato na ndio bargaining chip yake....

Jamii inawalea watoto wakike kwa mtazamo kuwa wao ji product ambayo hutoa huduma ya ngono. Hivi unadhani nani leo atakuthamini kama wewe haujiamini....?!

Mabinti wa kileo akija kijana ambae hana maisha mazuri yaani kiapato chake si cha uhakika wengi hawapo tayari kuketi nae kusikilizana nae kupanga maisha wengi wanataka mtu mwenye alienacho ili wao waingie tu na kutawala.... Hapa ndipo wengi huachwa na mimba za laana ya tamaa.....

Mimi utanisamehe, siwezi kuungana na wewe kutetea upumbavu ambao utakuja kumuangamiza hata binti yangu......

Mimi nitakemea uovu huu. Na nitasema na mtoto wa kike. Jamii mnataka mtoto wa kiume ndio aambiwe sasa aambiwe nini....?!

Mtoto wa kiume akitaka anaweza lala na mdada mtu mzima mwenye watoto so kwake sio tatizo na hatokosa mgegedo na hato loose chochote Ukimwambia mtoto wa kike asiruhusu mwili wake kuguswa au kutolewa bikra kwasababu yoyote ile hadi pale ndoa itakapofungwa na huyu ataemchanulia miguu awe ni mume wake halali.....
Sikia wewe.Kwani hao single mothers wanatiwa mimba na hewa?someone needs to take responsibility!Mbona huwasemi walowatia mimba?Wao ndo wanaruhusiwa kuzini?Kama unataka kufata neno la mungu lipasavyo si mwanaume na si mwanamke wote wanatakiwa wawe hawajazini!Mungu anachukia uzinzi.Halafu usibadili mada ya uzi!Kama usawa unatakiwa uwekwe pande zote!
 
Tufunge suruali zetu wakati mliumbwa kwaajili yetu?

Ninyi mpo kwa ajili yetu, sio sisi kwa ajili yenu. Wewe una umri gani huelewi mambo madogo kama haya,

Ninyi mnachoweza kumpa mwanaume ni kitu kimoja tuu
Exactly, mwanamke ana control only access ya kitu kimoja nayo ni sex..... Hakuna kingine.... Sasa akitumia vibaya hii tunu tayari anajiingiza shimo la machozi....
 
Wanaume wanapiga miti hadi mikono yao kwa kutumia sabuni au losheni.... Nani kakwambia wakiwa na hamu wanaangalia mwanamke mwenye akili wa kulala nae?!

Wanatafuta mjinga mjinga wanambabua...
Huyo unaemuona ww mjinga ni lulu kwa mwengine.Kama mwanamke huna madhumuni nae mbabue na vaa condom.Sio akibeba mimba unamuacha single mother!
 
Kama hayakuhusu, uliposema nilipooa ulikuwa unazungumzia nini au umechanganyikiwa?
Ale matunda yake wakati miti ipo mingi?
Mwanaume anauwezo wa kukuoa wewe na wenzako mia hivi, unadhani ukiolewa wewe wenzako wataolewa na nani?

Ukileta ujeuri unawekwa pembeni, ukikataa kuwa mke mwenza unawekwa pembeni, hujaumbwa kutushauri au kutupangia cha kufanya.

hujui dunia ni yamwanaume?

Wewe umeletwa kumsaidia tuu mwanaume, hivyo mwanaume anaweza akakubadilisha wewe akikuona hamnazo, ndio maana kuna talaka
Acha tu yaani. Unajua wanawake huwa hawaelewi hii kitu imekaaje!
 
Na ndio maana vijana now days kuoa mtihani labda binti awe ni mzuri sana na ana vigezo kiasi fulani...... Ila on average wanaume hatuvutiwi na wanawake walioguswa na wasiojielewa.....
Inashangaza mnavyoponda wanawake ikisha unaenda kuoa huyohuyo mwanamke.Hovyo!
 
Respect to all Single mazas outhere who play both roles;a father and a mother, you are strong and courageous, wanaume waliowaacha are COWARDS
Yeah kwa kufuata mitazamo ya kimagharibu na sera zao za kusapoti kila kitu hadi homosexuality nitasema upo okay.

Ila kwa mila za kiafrika hiyo kitu ni hapana. Hatuwezi toa pongezi katika maisha ambayo ni matokeo ya maamuzi ya kufuata mihemko ya uzinzi na uzembe kimaamuzi.

Sidhani kama utataka binti yako aishi maisha ya kuelekea kuwa single mother. Na hapa ndipo huwa nakorofishana sana na watu wanao sympathize na any form of failure ili tu kujisikia vizuri kihisia.
 
Wewe pambana na wanawake, wakikaza wasitolewe bikra hadi ndoa utakuja kunambia hapa..... Wewe unadhani aliyeiumba pale alikuwa ana maana gani....?!

Ukishaitoa ile kabla ya ndoa then umeyatafuta ya kuyataka....... Usilaumu mtu pokea kila tusi litalokujia....
Hata wanaume mjitunze pia alaaa!
 

Similar Discussions

19 Reactions
Reply
Back
Top Bottom