Kwanini mliachana hebu tuambie

DOMINIC FRANCIS

New Member
Oct 4, 2011
1
0
mara nyingi tumekuwa tunaachana lakini hatuambiani ni kwann tumeachana mda mwingine c sababu za msingi pengine tunaweza kujufuza kutokana na makosa hayo hebu tuambiane
 
kuachana ni kuachana tu,so long as mmeamua kuachana basi ndo mmeachana na hapo inakuwa hakuna mjadala tena,au?
 
up the guts.. ... ( a big run in rugby)

it's on for 2011 .... ( wanacheza sasa "rugby world cup is on now)

ahsante kwa udadavuzi,wewe rugby mchezo wa kitasha,sisi wengine huku msasani mandazi road hobby yetu kucheza kiduku!
 
mara nyingi tumekuwa tunaachana lakini hatuambiani ni kwann tumeachana mda mwingine c sababu za msingi pengine tunaweza kujufuza kutokana na makosa hayo hebu tuambiane
Tuliachana kwa sababu muda wa kuachana ulifika....! Vinginevyo, nawe subiri maana siku ukiachana utapata jibu sahihi....!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom