Ni ipi sababu ya kibailojia inayofanya mkono/mguu wa kulia kuwa na nguvu na wakoshoto kutokuwa na nguvu ikiwa ujazo wa misuli na mifupa ni sawa.
Hakuna kitu kama hicho,mikono yote ina nguvu sawa sema ni mazoea tu ndio yanakufanya uhisi kwamba wa kulia una nguvu,ukimuuliza obama atakwambia mkono wake wa kushoto ndio una nguvu.
Ninyi ni 10% katika 90% ya tunaoishi duniani, kilakitu kina kinyume duniani So ninyi ni mumeenda kinyume...mkono na mguu wa kulia wa nani ndo ina nguvu,,,, mbona me mguu wangu wa kushoto ndo una nguvu kuliko wa kulia
Hata mm wa kushoto una nguvu kuliko wa kulia mm nadhani kwa sababu ndio mkono ninao ushughulisha mara kwa mara ndio maana una nguvu zaidi hii yote kwa ya kuu_training.Swali zuri,naungana nawe kusubiri majibu,ila kwa kuongezea wapo ambao mkono/mguu wa kushoto unakua na nguvu zaidi ya wa kulia.
Hata mm wa kushoto una nguvu kuliko wa kulia mm nadhani kwa sababu ndio mkono ninao ushughulisha mara kwa mara ndio maana una nguvu zaidi hii yote kwa ya kuu_training.
Your WrongMmh sio kwamba inategemea na mkono/mguu gani unaoutumia zaidi!? Mfano mm ni right footed na ndio wenye nguvu Sana. Ndivyo hvyo Kwa left footed
Ni ipi sababu ya kibailojia inayofanya mkono/mguu wa kulia kuwa na nguvu na wa kushoto kutokuwa na nguvu ikiwa ujazo wa misuli na mifupa ni sawa.
Hapa kiungo kinaanza kuwa na nguvu alafu ndio unakitumia zaidi yaani mimi natumia sana mkono wa kulia kwasababu unanguvu na sio umekuwa na nguvu kwasababu nautumia sana.Nadhani jibu lake liko kwenye theory ya Darwin "Use and disuse"
Pale unapoweza kukitumia kiungo chako au viungo vyako ipasavyo, ndivyo ustadi zaidi unakuwepo na kuweza kujijenga zaidi.
Kwa kile kiungo kisichotumika ipasavyo, basi hupoteza uimara wake.
Hapa kiungo kinaanza kuwa na nguvu alafu ndio unakitumia zaidi yaani mimi natumia sana mkono wa kulia kwasababu unanguvu na sio umekuwa na nguvu kwasababu nautumia sana.