Kwanini Mkoa wa Njombe unaongoza kwa maambukizi ya HIV Tanzania?

Baridi kali sana inachangia ngono kufanyika.. Jamaa wanatumia k kuupa mwili joto.
Heavy trucks parking... Km mnavojua hapo ndpo yanaposimm malori toka mikoa tofaut kwenda/kutok nje ya nchi. Hvy madada zetu hujiachia na maderev pasipo kujali kinga wala nn.. Kufakunoga.. Iyo ndio slogan. Ya watu wa njombe, hawaogopi kifo
 
why..unguja na pemba kuna rate ndogo?and 99% ni muslim...inawezekana ukiristo na mafunzo yake ikawa tatizo ......
 
lete takwimu za Ukimwi Zanzibar ndio inaongoza kwa maambukizi kidogo kupita sehemu zote
Sijasema Zanzibar inaongoza kwa maambukizi mimi ndiyo uniulizie takwimu,nilichokuwa nakipinga ni wewe kudai hakuna ukimwi ilhal watu tunajua Zanzibar ukimwi upo.
 
Baridi kali sana inachangia ngono kufanyika.. Jamaa wanatumia k kuupa mwili joto.
Heavy trucks parking... Km mnavojua hapo ndpo yanaposimm malori toka mikoa tofaut kwenda/kutok nje ya nchi. Hvy madada zetu hujiachia na maderev pasipo kujali kinga wala nn.. Kufakunoga.. Iyo ndio slogan. Ya watu wa njombe, hawaogopi kifo
malori yanapak Makambako hayafiki Njombe Mjin wala Makete
 
Mm nimefanya kazi kwenye shirika la kupima watu afya. Katika mikoa ya nyanda za juu hakuna mkoa wenye watu wenye mwamko wa juu kupima afya, kama mkoa wa Njombe na ambao ni wawazi. Mfano kila kijiji tulichokuwa tunakwenda utakuta waliojitokeza ni wengi sana. Tofauti na mikoa mingine wengi waoga kupima afya zao. Mfano utakuta kijiji kinawakazi 500, wanaojitokeza kupima afya ni 20. Wakati vijiji vya wilaya ya Makete kinawakazi 300 wanaojitokeza kupima utakuta wapo 280. Sasa kwa uwiano huo lazima itaonekana mkoa wa Njombe unamaambukizi makubwa. Na kingine kinachochangia ni kuwa na Hosptal nyingi kubwa, ambapo wagonjwa wengi wanakwenda kule kutibiwa na kumbukumbu zao zinabaki kule.
Kupima kwa wingi haiwezi kuwa sababu.
Sehemu yenye rate kubwa hata wakienda kupima 20 matokeo yataongea tu. Na kama wakipima 500 sehemu isiyo na maambukizi mengi takwimu zitaongea pia.
Hata hivyo ili watu watu watoe takwimu, zipo taratibu za kukusanya data kabla ya kutoa matokeo.
Kafanyie kazi tena wazo lako.
 
Jibu ni kwamba..njombe wanabidii ya KUPIMA ukimwi..

Ila.kuhusu kugegedana tz nzima wanafanyana hasa pwanu aisee

Ila wangoni na wahaya Wanapepo la ngono

Unaifahamu sera ya kupima kina mama wajawazito?
Unadhani Njombe kuna wajawazito wengi kuliko mikoa mingine?
 
Point, embu agiza azamu juice hapo kwa Mangi nitakuja kulipa.

Takwimu zinaonyesha maambukizi njombe ni 14.8% na ndo mkoa unaoongoza. Sababu za maambukizi ya VVU kuwa juu ni:-

Moja, Biashara ya viazi mviringo. Biashara hii huwaleta wafanyabiashara na madereva, matingo wa malory, na makuli ambao hulala vijijini wakikusanya na kupakia viazi. Watu hawa kwa kuwa na fedha hufanya sana ngono zembe na wanawake wa vijijini.

Mbili, Tohara kwa wanaume haikwepo kwa Kabila la wabena, pangwa nk.

Tatu, idadi ya wanawake mabinti ni ndogo kulinganisha na wanaume. Mkoa huu nazani ndio unaoongoza kwa kutoa house girls wengi Tanzania. Hivyo unakuta mwanamke mmoja anagombaniwa na wanaume kumi na zaidi no way out.

Nne, Ulevi hasa kwa wanawake hasa njombe vijijini, na ludewa na makete pia.

Tano, house girls hurudi kwao na VVU na kwa uchache wa wanawake basi kila mwanaume kijijini ata mlala kwa uzuri wake.

Sita, uhaba wa kondomu vijijini. Maduka mengi vijijini hayauzi kondomu. Unaweza tafuta kondomu ludende siku nzima usiipate.

Saba, biashara ya mbao nk
 
View attachment 461162

Kwa muda mrefu nimekuwa nikisikia takwimu mbali mbali kupitia vyombo mbali mbali kuwa mkoa wa Njombe unaongoza kwa maambukizi na waathirika wa UKIMWI.

Swali langu ni la kidadisi(curiosity). Napenda kusikia toka kwa wataalamu na watafiti(kama tafiti zipo), kwanini isiwe majiji na mikoa mikubwa kama Dar, Mwanza, Mbeya n.k? Kama awali ilikuwa mkoa wa Kagera ndiyo ulioripotiwa mgonjwa wa kwanza na baadaye kuwa na waathirika wengi, ilikuwaje HIV iliruka mikoa ya hapo kati(Shinyanga, Tabora, Dodoma, Singida...) na kuufanya mkoa wa Njombe kuongoza?

Kama ni tohara kwa wanaume je, ni mikoa mingapi Tanzania hii walichelea kufanya tohara? Kwanini mikoa hiyo haijaathirika kiasi hicho? Japo kwa zamani(ninavyokumbuka) wilaya ya Makete(Njombe) ndiyo iliyokuwa ikiongoza na kwa sasa sina taarifa rasmi, bado ni jambo ambalo sina majibu yake, ilikuwaje mkoa wa Njombe uongoze kwa maambukizi?

Naomba wenye kufahamu majibu ya swali langu la msingi wanisaidie.

Kwanini Njombe?
Kwa sababu kuna baridi
 
nyinyi hamuijui njombe.... Ukibahatika kufika njombe ulizia bar moja inaitwa TAREE.. Japo zipo nyingi ila hii ndio kiwanja kikubwa cha ufuska.. Ngono na pombe kwenda mbele.

halafu sababu kuu ya ugonjwa huu ni kwamba...bar nyingi za njombe zina tabia ya kubadilishana wahudumu..mfano baa A inawahudumu wakaliii basi kila kijana ataenda pale bila kusahu kuwa vijana wa pale wana pesa sababu ya biashara za mbao na mazao,

baada ya muda fulani kila kijana atakuwa kesha wazoea wale wahudumu hivyo watahama bar kwenda baa ya jirani kufata huduma, mmliki wa baa A ataongea na mwenye baa B labda makambako au mbeya na kubadilishana wahudumu, wa baa A wakoenda kule Bwataonekana wakaliii baa itajaa na ngono kuendelea na wale na hivyo hivyobkwa baa B.

hawa wahudumu husambaza ugonjwa kwa watu wa rika zote na hao watu hupeleka majumbani mwao.

Njombe wadada wachache sana na sio wazuriiii...
ila ukienda baa unakutana vyombo vya maanaa..ukisafiri ukirudi unakuta wale wahudumu hawapo ila kuna wakali zaidi ya wale...halafu pesa unayo matunizi hakuna kule.

Sehemu za kutumia hela ni pale kwa mfunye,tarree na agreement hotel...hakuna pengine sasa kwann usivute kahudumu kamoja...ukatafune taratibu huku ukipata kajoto na kaukimwi kwa mbali...

utumie pesa yako kwa uzuriii
 
Niliwahi kumuuliza daktari flani wa njombe hili swali nilichoambiwa ni kuwa njombe kuna hospital kubwa kama ikonda hosp, bulongwa hosp, kibena hosp, ikelu hosp lugarawa na ilembula hosp. Zote ni hosptali kubwa sana hivyo watu wengi wanafika kupata matibabu huko kutoka sehemu mbalimbali na wakipimwa vvu takwimu zinasoma njombe kwakuwa watu wengi hawatoi taarifa sahihi wanatoka wapi... Ila sijui kama ndo uhalisia wenyewe

Kuna ukweli kiasi katika hili, ila ngoma Njombe ipo, Iringa hasa Mufindi ipo. Njombe kwa idadi ya watu ukilinganisha na Hospitali zilizopo pale, ni rahisi kupata takwimu sahihi. Kumbukumbu zote zinaonyesha wadau wote ni wakazi wa Njombe.

Kuna habari nyingine isiyosemwa, watu wa Njombe wameitikia wito wa kupima afya zao kwa wingi na kwa hiari mpaka vijijini kuliko maeneo mengi hapa nchini. Zile kampeni za PIUMA ( pima uishi kwa Matumaini) zilifanya kazi sana Njombe. Na ukifika vijijini, waathirika wanajulikana na wanahudhuria clinic kwa uwazi.

Population ya Njombe ni ndogo sana. UKIMWI Njombe upo sawa na mikoa mingine ilivyo.
 
Na baridi nadhani inachangia kuhamasisha ngono, na elimu ya kujikinga dhidi ya HIV nadhani ni ndogo
 
Kuna ukweli kiasi katika hili, ila ngoma Njombe ipo, Iringa hasa Mufindi ipo. Njombe kwa idadi ya watu ukilinganisha na Hospitali zilizopo pale, ni rahisi kupata takwimu sahihi. Kumbukumbu zote zinaonyesha wadau wote ni wakazi wa Njombe.

Kuna habari nyingine isiyosemwa, watu wa Njombe wameitikia wito wa kupima afya zao kwa wingi na kwa hiari mpaka vijijini kuliko maeneo mengi hapa nchini. Zile kampeni za PIUMA ( pima uishi kwa Matumaini) zilifanya kazi sana Njombe. Na ukifika vijijini, waathirika wanajulikana na wanahudhuria clinic kwa uwazi.

Population ya Njombe ni ndogo sana. UKIMWI Njombe upo sawa na mikoa mingine ilivyo.
Nadhani hilo ndo ukweli ulivyo
 
Mkuu hapo kwenye kuwaita watu wapime kwa lazima nakukatalia. Mm nna uzoefu mkubwa na Njombe.

Tatizo tu mzunguko Mdogo, kidemu kimoja mnaeza mkitandike mijeledi midume hata 20 kwa wiki. Awe mzr mzuri tu

Sitafuni tena binti wa Njombe!
 
Mtafute mkoa wenye idadi kubwa ya waathirika, mfano waseme dar wako wagonjwa wangapi, njombe wangapi, mbeya wangapi? ....mtapata jibu tofauti
 
Mm nimefanya kazi kwenye shirika la kupima watu afya. Katika mikoa ya nyanda za juu hakuna mkoa wenye watu wenye mwamko wa juu kupima afya, kama mkoa wa Njombe na ambao ni wawazi. Mfano kila kijiji tulichokuwa tunakwenda utakuta waliojitokeza ni wengi sana. Tofauti na mikoa mingine wengi waoga kupima afya zao. Mfano utakuta kijiji kinawakazi 500, wanaojitokeza kupima afya ni 20. Wakati vijiji vya wilaya ya Makete kinawakazi 300 wanaojitokeza kupima utakuta wapo 280. Sasa kwa uwiano huo lazima itaonekana mkoa wa Njombe unamaambukizi makubwa. Na kingine kinachochangia ni kuwa na Hosptal nyingi kubwa, ambapo wagonjwa wengi wanakwenda kule kutibiwa na kumbukumbu zao zinabaki kule.
Kwanini kuwe na hospital nyingi while population ni kidogo?
 
Back
Top Bottom