luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,325
- 6,871
Ilo li nchi liloendelea ki demokrasia ndio ilo linchi la HANDSHAKE ? Tribalism ? Kwan ule uchaguzi wa 2017 BABA si ndo alijiapisha mwenyewe akidai Jubilee na IEBC walikwiba NN ? MAVI ama ... Then 2018 njuguna njuguna mkampora haki yake ya uraia mka mdeport to canada by force qithout his willing akataka ku appeal court mkamfanyaje ? IPO WAPI DEMOKRASIA hapo ..... Ikonwapi FREEDOM tunda la demokrasia hapo ? 😀😀😀😀😀Truth be told, nyinyi ndo wivu mwingi kabisa dhidi ya Wakenya…….Wivu wenu unatokana na kuona wakenya wameendelea kiuchumi na kidemokrasia...Katika harakati ya kutaka kuifikia Kenya katika hayo, mnataka kujilinganisha na kuonekana jinsi mnazinduazindua miundombinu ambayo itapelekea Tz kuwa mbele ya Kenya kiuchumi katika miaka ijayo, mkasahau ya kwamba, Simba hajalala….Haja yenyu kuu ni kuufikia Uchumi wa Kenya ambao nitapata wajukuu na vitukuu mkiwa bado kwenye hiyo ndoto!