LightYagami
JF-Expert Member
- Dec 6, 2016
- 2,825
- 1,493
Haya basiHatuna muda na nyie sisi, nyie ndo mnapenda kutuchokonoa buda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya basiHatuna muda na nyie sisi, nyie ndo mnapenda kutuchokonoa buda
It looks bigger, almost double coz ya currency... I see Hii research uliifanya lini? Naona wewe ni economist motoKenyan economy looks bigger because of the value of the currency. But if you have to compare house by house, road by road, bridge by bridge, school by school, etc, you will realize how richer is Tanzania compared to Kenya.
Nadhani were in mgeni jf kwa sababu ulichoandika ni kinyume chake 100%.Ukipita forums mbalimbali utakuta mkenya anaitaja Tanzania tena kwa mabaya ili waonekane kwao hakuna mabaya Wakati yapo chungu mzima, Ukipita forums zingine unakuta kaitaja Tanzania hata sehemu ambayo Tanzania haihusiki ili mradi tu yeye ajisafishe, na wakiambiwa huwa hawabishana kwa fact zaidi ya kuja na maneno eti tunawaonea wivu sijui nn na nn.
Kwanini msipambane na mambo yanayoendelea nchini kwenu? Au hamyaoni? Au mnatafuta pa kuondolea stress? TOENI BORITI JICHONI MWENU KABLA HAMJATOA KWA MWENZENU.
au kuna mahali mmeandikiwa mnashindana na Tanzania?
Au ndo ile mlikaririshwa Tanzanian ni wapole so mnaeza waongelea ubaya wowote, alafu mkijibiwa ndo mnaanza maneno yale yale mabaya, Badilikeni Kenyans.
SawaNadhani were in mgeni jf kwa sababu ulichoandika ni kinyume chake 100%.
hawa si ndio wanadaiwa na chino hadi wanataka kuuzwa kunusuru madeni kumbe wanaipita? Au ni Kanye wapi? Wale vifaranga vyenye ugonjwa vilichomwa moto?Habari ya mujini kwa siku ya leo
A blackman calls his fellow blackman a baboon?What are you saying you lazy baboon?
Usingemjibu huyo nyang'au hana akili we fatilia comment zake hutajisumbua kumjibuA blackman calls his fellow blackman a baboon?
What a shame!
This is mental slavery.
Look at you pointing finguresNafikiri Kenya kuna kitu mnatakiwa kufanya, Ukiangalia watu wachache wanamiliki uchumi wenu,Pamoja na maendeleo mliyonayo bado sehemu kubwa ya waKenya ni masikini, Mnanufaikaje na uchumi wa Kati( wa kwenye makaratasi).Shurti mustakabali wa ukubwa wa uchumi uwafikie mifukoni mwenu wote mpaka Kibera slums apartments.
Ile sio uchumi,ile huitwa gdp,wala si kitu ni ujinga flani kwa watu wazembe kama nyie wakenyaUnasema upuzi gani, uchumi wa dollar bilioni mia moja ndio umejichokea?
"TZ you have no carrier," hiki ndiyo mtoa mada anakiongelea na wewe ume confirm hapa. Kenyans mko arrogant sana, mnapenda kuichafua Tz kwa vitu ambavyo havipo. No wonder kuna watu humu Tz SGR ujenzi uko over 50% ila bado wanasema ata zero km haijajengwa.Kujibiwa? SGR ya kenya is fully functioning, inabeba cargo mostly then abiria, ukisoma thread hapa watu wanalia sijui investment mbaya, yet we have one na none in TZ. Wanalia sijui KQ imefanya nini, yet TZ you have no carrier, niliona post ati wachina wanatembea koloni lao Kenya, yet TZ ni tourism, sijui kenya kuna poverty yet TZ has a higher % living in extreme poverty than Kenya. Unajua mnaishi in a state of self denial kujaribu kuangalia negatives za kenya ndio msikie mmefika ama mko pazuri.
Sawa mzeeBilioni mia moja ipo wapi Tony254, acha kujiaibisha, hata kukarabati reli ya zamani mnaomba mkopo, kazi ya hiyo bilioni mia moja ni IPI?
1) Tunajenga SGR $3.9B
2)Rufiji dam $3B
3) Dar - Kibaha Super high way $180M
4)ATCL planes $800M
Just few to mention, huo ndio maana ya uchumi mkubwa, sio theoretic economy.
Haya basi mko na Air Tanzania, wings of Kilimanjaro. A very big airline. Your national carrier mlinunua ndie you fit in msiachwe na akina rwanda."TZ you have no carrier," hiki ndiyo mtoa mada anakiongelea na wewe ume confirm hapa. Kenyans mko arrogant sana, mnapenda kuichafua Tz kwa vitu ambavyo havipo. No wonder kuna watu humu Tz SGR ujenzi uko over 50% ila bado wanasema ata zero km haijajengwa.
Ulijitahidi kuficha makucha yako (ujinga) ila mwisho wa siku unga umezidi maji.Haya basi mko na Air Tanzania, wings of Kilimanjaro. A very big airline. Your national carrier mlinunua ndie you fit in msiachwe na akina rwanda.
sawa basi, SGR yenu iko 50% complete? yani mko halfway to Uganda?Ulijitahidi kuficha makucha yako (ujinga) ila mwisho wa siku unga umezidi maji.
Hahahahaha, Mchina amewakatalia pesa mumeshindwa kumalizia SGR, kukarabati reli ya zamani mumeshindwa, sisi kila kitu tunafanya wenyewe kwa pesa yetu, unataka tuwepite katika nini tena. Kujisifia kwa uchumi wa kupika ktk makaratasi wakati uhalisia unajulikana?Wimbo wa tutaipiku Kenya hebu waulize kina Geza Ulole joto la jiwe mkorinto wameuimba hadi ikabaki matusi na majungu baada ya kulemewa kwa miaka zaidi ya 10