Kwanini Mkenya haweza kula na kunywa bila kuitaja Tanzania?

Zote kwa mkopo
Hahahahaha, sisi sio ile nchi yenye uchumi wa Maneno wakati inflation is the highest, unemployment and hunger are chronic problems.

Ngoja nikuongezee hasara;
1) Tunakarabati our Central MGR iweze kufikia speed ya 80KM/h, sawa na huyo bibi kizee wenu (SGR), toka Dar hadi Mwanza about 900Km long, tena tunaunganisha reli isiwe na joints kama hiyo SGR lenu.

2) Tunakarabati reli toka Tanga hadi Arusha, about 600Km.

Zote hizo kwa pesa yetu. Hiyo ndio maana ya big economy, sio uchumi wa Maneno tu.
 
Bilioni mia moja ipo wapi Tony254, acha kujiaibisha, hata kukarabati reli ya zamani mnaomba mkopo, kazi ya hiyo bilioni mia moja ni IPI?
1) Tunajenga SGR $3.9B
2)Rufiji dam $3B
3) Dar - Kibaha Super high way $180M
4)ATCL planes $800M
Just few to mention, huo ndio maana ya uchumi mkubwa, sio theoretic economy.
Hiyo billion mia sio yao hahahaha... Joto la jiwe hebu usibishane na pimbi hizi ziachen ziendelee kulala msiziamshee
 
Naskia hata Raisi wao lazima akuwege Mkikuyu.
Mujaruo NO.
Pole kwa Oginga Odinga na jukuu zake.
 
Ukuaji wa uchumi wa Kenya unasaidiaje wakenya wanaoishi kwa kushinda na kulala njaa. Ukienda vijijini wananchi wanafanana mazombi uo uchumi sinirahana mkuu.
Bora Tanzania wengi tunajua uchumi wetu unasinyaa.
 
Truth be told, nyinyi ndo wivu mwingi kabisa dhidi ya Wakenya…….Wivu wenu unatokana na kuona wakenya wameendelea kiuchumi na kidemokrasia...Katika harakati ya kutaka kuifikia Kenya katika hayo, mnataka kujilinganisha na kuonekana jinsi mnazinduazindua miundombinu ambayo itapelekea Tz kuwa mbele ya Kenya kiuchumi katika miaka ijayo, mkasahau ya kwamba, Simba hajalala….Haja yenyu kuu ni kuufikia Uchumi wa Kenya ambao nitapata wajukuu na vitukuu mkiwa bado kwenye hiyo ndoto!
Hivi Kenya kuna Democrasia!! Mimi naona ikifika uchaguzi watu wana geuka wanyama nakuchinjana kwa ajili ya kutetea makabila yao. BTW takwimu zina onyesha Tz iko more democratic kuliko Kenya (Democracy index) nyie kwa sababu ya chuki zenu kwa Magu mnamuita Dictator ila dunia inajua Tz is more democratic kuliko Kenya.
 
Ukipita forums mbalimbali utakuta mkenya anaitaja Tanzania tena kwa mabaya ili waonekane kwao hakuna mabaya Wakati yapo chungu mzima, Ukipita forums zingine unakuta kaitaja Tanzania hata sehemu ambayo Tanzania haihusiki ili mradi tu yeye ajisafishe, na wakiambiwa huwa hawabishana kwa fact zaidi ya kuja na maneno eti tunawaonea wivu sijui nn na nn.
Kwanini msipambane na mambo yanayoendelea nchini kwenu? Au hamyaoni? Au mnatafuta pa kuondolea stress? TOENI BORITI JICHONI MWENU KABLA HAMJATOA KWA MWENZENU.
au kuna mahali mmeandikiwa mnashindana na Tanzania?
Au ndo ile mlikaririshwa Tanzanian ni wapole so mnaeza waongelea ubaya wowote, alafu mkijibiwa ndo mnaanza maneno yale yale mabaya, Badilikeni Kenyans.
Guess you are new here. Check all threads started by Tanzanians hapa za kujaribu kubelittle Kenya na kucelebrate. Unaweza thani Kenya is a dying country ukisoma threads humu
 
Guess you are new here. Check all threads started by Tanzanians hapa za kujaribu kubelittle Kenya na kucelebrate. Unaweza thani Kenya is a dying country ukisoma threads humu
Mm sio mpya hapa, Usiangalie jf, nenda kaangalie forum mbalimbali, humu Tanzanian waliaanza baada ya ninyi kuaanza
 
Mm sio mpya hapa, Usiangalie jf, nenda kaangalie forum mbalimbali, humu Tanzanian waliaanza baada ya ninyi kuaanza
Really man. Mimi husoma threads za kucelebrate KQ ikiwa na shida or some company ikiwa na shida or some bad news from Kenya. Thank God KE ni rahisi kupata info utapata waTZ kama ichioboy wameset twitter location yao to Kenya kuokota any negative news trending in Kenya
 
Really man. Mimi husoma threads za kucelebrate KQ ikiwa na shida or some company ikiwa na shida or some bad news from Kenya. Thank God KE ni rahisi kupata info utapata waTZ kama ichioboy wameset twitter location yao to Kenya kuokota any negative news trending in Kenya
Narudia pale pale, nyie ndo mnapenda kuichafua Tanzania ndo maana na nyie mnachafuliwa, mna kauchokozi ambacho mkijibiwa mnaanza kusema tuna wivu
 
Narudia pale pale, nyie ndo mnapenda kuichafua Tanzania ndo maana na nyie mnachafuliwa, mna kauchokozi ambacho mkijibiwa mnaanza kusema tuna wivu
Kujibiwa? SGR ya kenya is fully functioning, inabeba cargo mostly then abiria, ukisoma thread hapa watu wanalia sijui investment mbaya, yet we have one na none in TZ. Wanalia sijui KQ imefanya nini, yet TZ you have no carrier, niliona post ati wachina wanatembea koloni lao Kenya, yet TZ ni tourism, sijui kenya kuna poverty yet TZ has a higher % living in extreme poverty than Kenya. Unajua mnaishi in a state of self denial kujaribu kuangalia negatives za kenya ndio msikie mmefika ama mko pazuri.
 
Kujibiwa? SGR ya kenya is fully functioning, inabeba cargo mostly then abiria, ukisoma thread hapa watu wanalia sijui investment mbaya, yet we have one na none in TZ. Wanalia sijui KQ imefanya nini, yet TZ you have no carrier, niliona post ati wachina wanatembea koloni lao Kenya, yet TZ ni tourism, sijui kenya kuna poverty yet TZ has a higher % living in extreme poverty than Kenya. Unajua mnaishi in a state of self denial kujaribu kuangalia negatives za kenya ndio msikie mmefika ama mko pazuri.
Ni kwa sababu na nyie mnawachafua Tz, acheni muone kama waTz wana muda na nyie
 
Kenyan economy looks bigger because of the value of the currency. But if you have to compare house by house, road by road, bridge by bridge, school by school, etc, you will realize how richer is Tanzania compared to Kenya.
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom