Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 19,160
- 15,428
Sisi hatutumii ya mwingereza kama nyinyi.Katiba tunatumia ya mwingereza sasa in demokrasia IPI iliyoendelea huko kwenu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi hatutumii ya mwingereza kama nyinyi.Katiba tunatumia ya mwingereza sasa in demokrasia IPI iliyoendelea huko kwenu
Hahahahaha, sisi sio ile nchi yenye uchumi wa Maneno wakati inflation is the highest, unemployment and hunger are chronic problems.Zote kwa mkopo
Hiyo billion mia sio yao hahahaha... Joto la jiwe hebu usibishane na pimbi hizi ziachen ziendelee kulala msiziamsheeBilioni mia moja ipo wapi Tony254, acha kujiaibisha, hata kukarabati reli ya zamani mnaomba mkopo, kazi ya hiyo bilioni mia moja ni IPI?
1) Tunajenga SGR $3.9B
2)Rufiji dam $3B
3) Dar - Kibaha Super high way $180M
4)ATCL planes $800M
Just few to mention, huo ndio maana ya uchumi mkubwa, sio theoretic economy.
ThibitishaaZote kwa mkopo
Ya kwenu imewasaidia nn hahahahaSisi hatutumii ya mwingereza kama nyinyi.
Hivi Kenya kuna Democrasia!! Mimi naona ikifika uchaguzi watu wana geuka wanyama nakuchinjana kwa ajili ya kutetea makabila yao. BTW takwimu zina onyesha Tz iko more democratic kuliko Kenya (Democracy index) nyie kwa sababu ya chuki zenu kwa Magu mnamuita Dictator ila dunia inajua Tz is more democratic kuliko Kenya.Truth be told, nyinyi ndo wivu mwingi kabisa dhidi ya Wakenya…….Wivu wenu unatokana na kuona wakenya wameendelea kiuchumi na kidemokrasia...Katika harakati ya kutaka kuifikia Kenya katika hayo, mnataka kujilinganisha na kuonekana jinsi mnazinduazindua miundombinu ambayo itapelekea Tz kuwa mbele ya Kenya kiuchumi katika miaka ijayo, mkasahau ya kwamba, Simba hajalala….Haja yenyu kuu ni kuufikia Uchumi wa Kenya ambao nitapata wajukuu na vitukuu mkiwa bado kwenye hiyo ndoto!
So acha na sisi pia tuendelee kupost maovu yenyu
Guess you are new here. Check all threads started by Tanzanians hapa za kujaribu kubelittle Kenya na kucelebrate. Unaweza thani Kenya is a dying country ukisoma threads humuUkipita forums mbalimbali utakuta mkenya anaitaja Tanzania tena kwa mabaya ili waonekane kwao hakuna mabaya Wakati yapo chungu mzima, Ukipita forums zingine unakuta kaitaja Tanzania hata sehemu ambayo Tanzania haihusiki ili mradi tu yeye ajisafishe, na wakiambiwa huwa hawabishana kwa fact zaidi ya kuja na maneno eti tunawaonea wivu sijui nn na nn.
Kwanini msipambane na mambo yanayoendelea nchini kwenu? Au hamyaoni? Au mnatafuta pa kuondolea stress? TOENI BORITI JICHONI MWENU KABLA HAMJATOA KWA MWENZENU.
au kuna mahali mmeandikiwa mnashindana na Tanzania?
Au ndo ile mlikaririshwa Tanzanian ni wapole so mnaeza waongelea ubaya wowote, alafu mkijibiwa ndo mnaanza maneno yale yale mabaya, Badilikeni Kenyans.
Mm sio mpya hapa, Usiangalie jf, nenda kaangalie forum mbalimbali, humu Tanzanian waliaanza baada ya ninyi kuaanzaGuess you are new here. Check all threads started by Tanzanians hapa za kujaribu kubelittle Kenya na kucelebrate. Unaweza thani Kenya is a dying country ukisoma threads humu
Really man. Mimi husoma threads za kucelebrate KQ ikiwa na shida or some company ikiwa na shida or some bad news from Kenya. Thank God KE ni rahisi kupata info utapata waTZ kama ichioboy wameset twitter location yao to Kenya kuokota any negative news trending in KenyaMm sio mpya hapa, Usiangalie jf, nenda kaangalie forum mbalimbali, humu Tanzanian waliaanza baada ya ninyi kuaanza
Narudia pale pale, nyie ndo mnapenda kuichafua Tanzania ndo maana na nyie mnachafuliwa, mna kauchokozi ambacho mkijibiwa mnaanza kusema tuna wivuReally man. Mimi husoma threads za kucelebrate KQ ikiwa na shida or some company ikiwa na shida or some bad news from Kenya. Thank God KE ni rahisi kupata info utapata waTZ kama ichioboy wameset twitter location yao to Kenya kuokota any negative news trending in Kenya
Kujibiwa? SGR ya kenya is fully functioning, inabeba cargo mostly then abiria, ukisoma thread hapa watu wanalia sijui investment mbaya, yet we have one na none in TZ. Wanalia sijui KQ imefanya nini, yet TZ you have no carrier, niliona post ati wachina wanatembea koloni lao Kenya, yet TZ ni tourism, sijui kenya kuna poverty yet TZ has a higher % living in extreme poverty than Kenya. Unajua mnaishi in a state of self denial kujaribu kuangalia negatives za kenya ndio msikie mmefika ama mko pazuri.Narudia pale pale, nyie ndo mnapenda kuichafua Tanzania ndo maana na nyie mnachafuliwa, mna kauchokozi ambacho mkijibiwa mnaanza kusema tuna wivu
Ni kwa sababu na nyie mnawachafua Tz, acheni muone kama waTz wana muda na nyieKujibiwa? SGR ya kenya is fully functioning, inabeba cargo mostly then abiria, ukisoma thread hapa watu wanalia sijui investment mbaya, yet we have one na none in TZ. Wanalia sijui KQ imefanya nini, yet TZ you have no carrier, niliona post ati wachina wanatembea koloni lao Kenya, yet TZ ni tourism, sijui kenya kuna poverty yet TZ has a higher % living in extreme poverty than Kenya. Unajua mnaishi in a state of self denial kujaribu kuangalia negatives za kenya ndio msikie mmefika ama mko pazuri.
Ohoooooo bro huku napo tz haijaonekana, nani hupeana rushwa tusiandikwe??Habari ya mujini kwa siku ya leo
we try to be civil but some Tanzanians in denial wataishambulia kenya.Ni kwa sababu na nyie mnawachafua Tz, acheni muone kama waTz wana muda na nyie
Hatuna muda na nyie sisi, nyie ndo mnapenda kutuchokonoa budawe try to be civil but some Tanzanians in denial wataishambulia kenya.