Kwanini Mkenya haweza kula na kunywa bila kuitaja Tanzania?

babayao255

JF-Expert Member
Apr 4, 2019
11,011
26,651
Ukipita forums mbalimbali utakuta mkenya anaitaja Tanzania tena kwa mabaya ili waonekane kwao hakuna mabaya Wakati yapo chungu mzima, Ukipita forums zingine unakuta kaitaja Tanzania hata sehemu ambayo Tanzania haihusiki ili mradi tu yeye ajisafishe, na wakiambiwa huwa hawabishana kwa fact zaidi ya kuja na maneno eti tunawaonea wivu sijui nn na nn.
Kwanini msipambane na mambo yanayoendelea nchini kwenu? Au hamyaoni? Au mnatafuta pa kuondolea stress? TOENI BORITI JICHONI MWENU KABLA HAMJATOA KWA MWENZENU.
au kuna mahali mmeandikiwa mnashindana na Tanzania?
Au ndo ile mlikaririshwa Tanzanian ni wapole so mnaeza waongelea ubaya wowote, alafu mkijibiwa ndo mnaanza maneno yale yale mabaya, Badilikeni Kenyans.
 
Ukipita forums mbalimbali utakuta mkenya anaitaja Tanzania tena kwa mabaya ili waonekane kwao hakuna mabaya Wakati yapo chungu mzima, Ukipita forums zingine unakuta kaitaja Tanzania hata sehemu ambayo Tanzania haihusiki ili mradi tu yeye ajisafishe, na wakiambiwa huwa hawabishana kwa fact zaidi ya kuja na maneno eti tunawaonea wivu sijui nn na nn.
Kwanini msipambane na mambo yanayoendelea nchini kwenu? Au hamyaoni? Au mnatafuta pa kuondolea stress? TOENI BORITI JICHONI MWENU KABLA HAMJATOA KWA MWENZENU.
au kuna mahali mmeandikiwa mnashindana na Tanzania?
Au ndo ile mlikaririshwa Tanzanian ni wapole so mnaeza waongelea ubaya wowote, alafu mkijibiwa ndo mnaanza maneno yale yale mabaya, Badilikeni Kenyans.
Truth be told, nyinyi ndo wivu mwingi kabisa dhidi ya Wakenya…….Wivu wenu unatokana na kuona wakenya wameendelea kiuchumi na kidemokrasia...Katika harakati ya kutaka kuifikia Kenya katika hayo, mnataka kujilinganisha na kuonekana jinsi mnazinduazindua miundombinu ambayo itapelekea Tz kuwa mbele ya Kenya kiuchumi katika miaka ijayo, mkasahau ya kwamba, Simba hajalala….Haja yenyu kuu ni kuufikia Uchumi wa Kenya ambao nitapata wajukuu na vitukuu mkiwa bado kwenye hiyo ndoto!
 
Truth be told, nyinyi ndo wivu mwingi kabisa dhidi ya Wakenya…….Wivu wenu unatokana na kuona wakenya wameendelea kiuchumi na kidemokrasia...Katika harakati ya kutaka kuifikia Kenya katika hayo, mnataka kujilinganisha na kuonekana jinsi mnazinduazindua miundombinu ambayo itapelekea Tz kuwa mbele ya Kenya kiuchumi katika miaka ijayo, mkasahau ya kwamba, Simba hajalala….Haja yenyu kuu ni kuufikia Uchumi wa Kenya ambao nitapata wajukuu na vitukuu mkiwa bado kwenye hiyo ndoto!
Kuna mahali tushawahi kuandika tunataka kufikia uchumi wa kenya? Ni wasiwasi wenu tu, mkiona Tanzania wanafanya kitu mnadhani wanashindana na nyie, hivi kweli nikuulize kuna nchi haipendi kufanya maendeleo binafsi? Shida ni ninyi na ndio maana mnaona watanzania ni wabaya wakati chanzo ni ninyi, yaani mnalala mkiwaza muandike uzi gani wa kuichafua Tanzania, mkiambiwa ukweli mnajitetea eti watanzania wana Wivu, yaani hampendi kusikia jambo zuri linafanyika Tanzania. Badilikeni nawaambieni.
 
Kuna mahali tushawahi kuandika tunataka kufikia uchumi wa kenya? Ni wasiwasi wenu tu, mkiona Tanzania wanafanya kitu mnadhani wanashindana na nyie, hivi kweli nikuulize kuna nchi haipendi kufanya maendeleo binafsi? Shida ni ninyi na ndio maana mnaona watanzania ni wabaya wakati chanzo ni ninyi, yaani mnalala mkiwaza muandike uzi gani wa kuichafua Tanzania, mkiambiwa ukweli mnajitetea eti watanzania wana Wivu, yaani hampendi kusikia jambo zuri linafanyika Tanzania. Badilikeni nawaambieni.
Achana nao hao watu wenyewe washajifirisikia ..yaan kubishana na mkenya now ni kupoteza tu nguvu bure kifupi Kenya ishajichokea
 
Sijawahi kuona Mtanzania anawaza vitu vya Kenya labda those who live in the border ila si Watanzania wote. Binafsi tu hapa sijawahi kuota kama nataka kuwa Mkenya ama kwenda kuishi Kenya simply because I don't see the reason as we have everything here in Tanzania.
 
Truth be told, nyinyi ndo wivu mwingi kabisa dhidi ya Wakenya…….Wivu wenu unatokana na kuona wakenya wameendelea kiuchumi na kidemokrasia...Katika harakati ya kutaka kuifikia Kenya katika hayo, mnataka kujilinganisha na kuonekana jinsi mnazinduazindua miundombinu ambayo itapelekea Tz kuwa mbele ya Kenya kiuchumi katika miaka ijayo, mkasahau ya kwamba, Simba hajalala….Haja yenyu kuu ni kuufikia Uchumi wa Kenya ambao nitapata wajukuu na vitukuu mkiwa bado kwenye hiyo ndoto!
Uchumi gani bwana papai wakati nusu ya wakenya huishi kwa slums vibanda vya mabati chakavu full suit
 
Yaani ni kama yule mtu yuko na stress alafu anatafta mahali na kutolea stress yake
Achana nao hao watu wenyewe washajifirisikia ..yaan kubishana na mkenya now ni kupoteza tu nguvu bure kifupi Kenya ishajichokea
 
Sijawahi kuona Mtanzania anawaza vitu vya Kenya labda those who live in the border ila si Watanzania wote. Binafsi tu hapa sijawahi kuota kama nataka kuwa Mkenya ama kwenda kuishi Kenya simply because I don't see the reason as we have everything here in Tanzania.
How do you mean you have everything? Naona ccm imewakalia " chapati" hamfurukuti.😁
 
Tembelea forums mbalimbali uone namna wakenya wanavyopenda kuandika vitu vibaya kuhusu Tz tena hata mahali ambapo Tz haihusiki, yaani mkibanwa na Nigerian kule mnaingiza Tanzania ili mjisafishe, Mnaprove kuwa ni kweli Kenyans mko na wivu/chuki
 
Yap mkuu, na ukiona kaandika ujue umemchokoza
Sijawahi kuona Mtanzania anawaza vitu vya Kenya labda those who live in the border ila si Watanzania wote. Binafsi tu hapa sijawahi kuota kama nataka kuwa Mkenya ama kwenda kuishi Kenya simply because I don't see the reason as we have everything here in Tanzania.
 
Tembelea forums mbalimbali uone namna wakenya wanavyopenda kuandika vitu vibaya kuhusu Tz tena hata mahali ambapo Tz haihusiki, yaani mkibanwa na Nigerian kule mnaingiza Tanzania ili mjisafishe, Mnaprove kuwa ni kweli Kenyans mko na wivu/chuki
Kenya hawakopeshi jambo zuri watasifia kumbuka #whatwouldmagufulido. Baya wataponda bila kikomo.
 
Unasema upuzi gani, uchumi wa dollar bilioni mia moja ndio umejichokea?
Uchumi ambao upo chini ya nani??? Hahahahaha kama hujui Kenya ndio point au kituo cha makampuni ya wazungu ukanda huu na ndio kituo kikubwa cha money laundry.. Kifupi hapo kwenu ni sehemu ambayo wazungu wanafanya biashara zao hela wanapeleka kwao nyie mnabaki kusema GDP wakati a native Kenyans anaishi kwa slums...
 
Sijapata kuona Nyang'au kwenye "jukwaa la siasa" au "habari mchanganyiko" but the case is very different upande huu mwingine 🤔🤔
 
Tanzanian haeezilala bila kutaja Kenya. Akina Geuza Ulaele, Mkikuyi akili maji na Icho girl spend 24hrs of their day time just to search bad things about Kenya.
Tembelea forums mbalimbali uone namna wakenya wanavyopenda kuandika vitu vibaya kuhusu Tz tena hata mahali ambapo Tz haihusiki, yaani mkibanwa na Nigerian kule mnaingiza Tanzania ili mjisafishe, Mnaprove kuwa ni kweli Kenyans mko na wivu/chuki
 
What are you saying you lazy baboon?
Uchumi ambao upo chini ya nani??? Hahahahaha kama hujui Kenya ndio point au kituo cha makampuni ya wazungu ukanda huu na ndio kituo kikubwa cha money laundry.. Kifupi hapo kwenu ni sehemu ambayo wazungu wanafanya biashara zao hela wanapeleka kwao nyie mnabaki kusema GDP wakati a native Kenyans anaishi kwa slums...
 
Tanzanian haeezilala bila kutaja Kenya. Akina Geuza Ulaele, Mkikuyi akili maji na Icho girl spend 24hrs of their day time just to search bad things about Kenya.
Ni kwa sababu na nyie mnatafuta bad thing about Tz ndo maana na wao wanawajibu, acheni muone kama wana tatizo na nyie
 
Mtanzania hana ugomvi wala muda na mtu ili ukimchokoza atakujibu tena kwa fact alafu ndo hapo unaanzia sijui wivu na nn na nn
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom