Arnold mrass cannambo
JF-Expert Member
- Apr 13, 2018
- 4,067
- 2,637
Apart from kukula na kukunywa what else do Tanzanians know
Huyo teargas hana akili acha waendelee ila wakija kuamka watashangaaMtanzania hana ugomvi wala muda na mtu ili ukimchokoza atakujibu tena kwa fact alafu ndo hapo unaanzia sijui wivu na nn na nn
Comment yako inaonesha ni jinsi gani akili yako ni ilivyo fupiApart from kukula na kukunywa what else do Tanzanians know
Ni kwa sababu na nyie mnatafuta bad thing about Tz ndo maana na wao wanawajibu, acheni muone kama wana tatizo na nyie
Huyo teargas hana akili acha waendelee ila wakija kuamka watashangaa
SawaSo acha na sisi pia tuendelee kupost maovu yenyu
Hawa jamaa sijui nn inawasumbua
Na inawasumbua sana, Tz ikifanya kitu kizuri wanaweweseka balaa,Wivu tu hamna kingne
Huyo teargas hana akili acha waendelee ila wakija kuamka watashangaa
Wakenya mna roho mbaya wenyewe tu mnabaguana sijui kikuyu na mjaluo ,hiyo roho mbaya imejijenga hadi mnaanza kuchukia mataifa mengine ambayo hayana time na nyie ,jirekebisheni kwanza nyie ndio muangalie wengine ,mother fanta kabisa wwTruth be told, nyinyi ndo wivu mwingi kabisa dhidi ya Wakenya…….Wivu wenu unatokana na kuona wakenya wameendelea kiuchumi na kidemokrasia...Katika harakati ya kutaka kuifikia Kenya katika hayo, mnataka kujilinganisha na kuonekana jinsi mnazinduazindua miundombinu ambayo itapelekea Tz kuwa mbele ya Kenya kiuchumi katika miaka ijayo, mkasahau ya kwamba, Simba hajalala….Haja yenyu kuu ni kuufikia Uchumi wa Kenya ambao nitapata wajukuu na vitukuu mkiwa bado kwenye hiyo ndoto!
Na nina wasiwasi hayo makabila mawili ndo haya humu wanaongea ujingaWakenya mna roho mbaya wenyewe tu mnabaguana sijui kikuyu na mjaluo ,hiyo roho mbaya imejijenga hadi mnaanza kuchukia mataifa mengine ambayo hayana time na nyie ,jirekebisheni kwanza nyie ndio muangalie wengine ,mother fanta kabisa ww
Kama vile chuki ya Dudu Baya kwa Wahaya🤔Wakenya mna roho mbaya wenyewe tu mnabaguana sijui kikuyu na mjaluo ,hiyo roho mbaya imejijenga hadi mnaanza kuchukia mataifa mengine ambayo hayana time na nyie ,jirekebisheni kwanza nyie ndio muangalie wengine ,mother fanta kabisa ww
Mtu mmoja kumchukia mtu mwengine ni kawaida kwanza yule dudu baya alikua anamchkia ruge kwa maslahi yao binafsi hata hivyo ameshaomba msamaha kwa kosa alilofanya. tatizo kwenu kabila moja kubwa liwachukia kabila jingine kubwa, huoni Kama kuna tatizo, toa boriti kweye jicho lako Kisha ndo utoe kwa mwingineKama vile chuki ya Dudu Baya kwa Wahaya
Bilioni mia moja ipo wapi Tony254, acha kujiaibisha, hata kukarabati reli ya zamani mnaomba mkopo, kazi ya hiyo bilioni mia moja ni IPI?Unasema upuzi gani, uchumi wa dollar bilioni mia moja ndio umejichokea?
Alafu wanataka chuki zao wazivukishe borderMtu mmoja kumchukia mtu mwengine ni kawaida kwanza yule dudu baya alikua anamchkia ruge kwa maslahi yao binafsi hata hivyo ameshaomba msamaha kwa kosa alilofanya. tatizo kwenu kabila moja kubwa liwachukia kabila jingine kubwa, huoni Kama kuna tatizo, toa boriti kweye jicho lako Kisha ndo utoe kwa mwingine
Mafaala Sana hawa watuAlafu wanataka chuki zao wazivukishe border
Mtu mmoja kumchukia mtu mwengine ni kawaida kwanza yule dudu baya alikua anamchkia ruge kwa maslahi yao binafsi hata hivyo ameshaomba msamaha kwa kosa alilofanya. tatizo kwenu kabila moja kubwa liwachukia kabila jingine kubwa, huoni Kama kuna tatizo, toa boriti kweye jicho lako Kisha ndo utoe kwa mwingine
Bilioni mia moja ipo wapi Tony254, acha kujiaibisha, hata kukarabati reli ya zamani mnaomba mkopo, kazi ya hiyo bilioni mia moja ni IPI?
1) Tunajenga SGR $3.9B
2)Rufiji dam $3B
3) Dar - Kibaha Super high way $180M
4)ATCL planes $800M
Just few to mention, huo ndio maana ya uchumi mkubwa, sio theoretic economy.
Tazama video hio acha kuliona boriti la mwenzakoMafaala Sana hawa watu
Truth be told, nyinyi ndo wivu mwingi kabisa dhidi ya Wakenya…….Wivu wenu unatokana na kuona wakenya wameendelea kiuchumi na kidemokrasia...Katika harakati ya kutaka kuifikia Kenya katika hayo, mnataka kujilinganisha na kuonekana jinsi mnazinduazindua miundombinu ambayo itapelekea Tz kuwa mbele ya Kenya kiuchumi katika miaka ijayo, mkasahau ya kwamba, Simba hajalala….Haja yenyu kuu ni kuufikia Uchumi wa Kenya ambao nitapata wajukuu na vitukuu mkiwa bado kwenye hiyo ndoto!