GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,073
- 107,565
Hii nimeishuhudia mara kwa mara maeneo mbalimbali ila Jioni hii ndiyo 'nimeithibitisha' kabisa. Kuna Mke wa Watu 'Kafumania' Meseji ya 'Hawara' ya Mumewe katika Simu yake na kwa jinsi Mwanamke ( Mke ) huyu alivyokuwa akifoka, akipiga kelele, akitishia Kuondoka kurejea Kwao huku akimtukana huyo 'Hawara' akimuunganisha na Mumewe siamini ninachokiona hivi sasa.
Baada ya 'Mbwembwe' zote hizo za Mkewe Jamaa ( Mumewe ) Yeye muda wote alikuwa 'ametulia' tu 'tuli' na muda mwingine 'akikanusha' huku 'akimbembeleza' Mkewe na taratibu nikawa naanza Kumsikia Mkewe ( Mwanamke ) Sauti yake ya Kufoka, Kugomba, Kukashifu na Kutukana ikipungua kadri dakika zilivyokuwa zinayoyoma na Mumewe akiendelea 'Kuguguma' zake tu.
Kilichotokea baada ya hapo nikamsikia Mwanaume ( Mumewe ) ameomba waende Chumbani ambapo hapo hapo tena nikaisikia Sauti ya Mwanaime akimuomba Msamaha Mkewe ( Mwanamke ) halafu akampa 'Pesa' kisha nikasikia 'Ukimya' wa muda ( wa Kimkakati ) ulioashiria kuwa walikuwa 'Wakifanyana' na baada ya hapo hadi hivi sasa Mwanamke naona ndiye mwenye Furaha, akipika na Kuimba pia tofauti na awali.
Je, hii mbinu itumike kwa Wanaume wengine pale 'wakihitilafiana' na Wake / Wapenzi Wao au inategemea na Mwanamke na Kosa lako ulilofanya?
Baada ya 'Mbwembwe' zote hizo za Mkewe Jamaa ( Mumewe ) Yeye muda wote alikuwa 'ametulia' tu 'tuli' na muda mwingine 'akikanusha' huku 'akimbembeleza' Mkewe na taratibu nikawa naanza Kumsikia Mkewe ( Mwanamke ) Sauti yake ya Kufoka, Kugomba, Kukashifu na Kutukana ikipungua kadri dakika zilivyokuwa zinayoyoma na Mumewe akiendelea 'Kuguguma' zake tu.
Kilichotokea baada ya hapo nikamsikia Mwanaume ( Mumewe ) ameomba waende Chumbani ambapo hapo hapo tena nikaisikia Sauti ya Mwanaime akimuomba Msamaha Mkewe ( Mwanamke ) halafu akampa 'Pesa' kisha nikasikia 'Ukimya' wa muda ( wa Kimkakati ) ulioashiria kuwa walikuwa 'Wakifanyana' na baada ya hapo hadi hivi sasa Mwanamke naona ndiye mwenye Furaha, akipika na Kuimba pia tofauti na awali.
Je, hii mbinu itumike kwa Wanaume wengine pale 'wakihitilafiana' na Wake / Wapenzi Wao au inategemea na Mwanamke na Kosa lako ulilofanya?