Kwanini Misibani Watu wengi hung'ang'ania kutaka kubeba au kuligusa tu Jeneza la Marehemu?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,542
108,858
Utakuta Mtu pengine hata hamjui Marehemu na kafanya tu kumsikia au hata wakati Marehemu alikuwa hai walikuwa na Ugomvi / Bifu / Chuki nae tena ile ya Kutukuka kabisa lakini siku ya Kumuaga pale Jeneza lake linapowasili tu eneo la tukio utaona huyo Mtu / hao Watu wanaparangana kutaka kulibeba na hata mwingine kuligusa tu kidogo ndipo anaridhika.

Je kuna siri gani iliyojificha hapa?

Nawasilisha na karibuni katika kuchangia.

 
Utakuta Mtu pengine hata hamjui Marehemu na kafanya tu kumsikia au hata wakati Marehemu alikuwa hai walikuwa na Ugomvi / Bifu / Chuki nae tena ile ya Kutukuka kabisa lakini siku ya Kumuaga pale Jeneza lake linapowasili tu eneo la tukio utaona huyo Mtu / hao Watu wanaparangana kutaka kulibeba na hata mwingine kuligusa tu kidogo ndipo anaridhika.

Je kuna siri gani iliyojificha hapa?

Nawasilisha na karibuni katika kuchangia.

Wanataka waibe kipande cha sanda wakatengezenezee dawa za ushirikina.
 
Utakuta Mtu pengine hata hamjui Marehemu na kafanya tu kumsikia au hata wakati Marehemu alikuwa hai walikuwa na Ugomvi / Bifu / Chuki nae tena ile ya Kutukuka kabisa lakini siku ya Kumuaga pale Jeneza lake linapowasili tu eneo la tukio utaona huyo Mtu / hao Watu wanaparangana kutaka kulibeba na hata mwingine kuligusa tu kidogo ndipo anaridhika.

Je kuna siri gani iliyojificha hapa?

Nawasilisha na karibuni katika kuchangia.
heeeee wewe ni thawabu zile we mkaka ndo maaanaa unatakaa kukaa na matejaa na maselaaa kwa sababu akili mnafanana khaaa we unadhani ni show off eeeheee ?zile ni baraka kumstiri mwenzio
 
Ngoja na mie nisubirie wajuzi watasema nini, kwa kuwa ni jana tu nilipanda daladala tukafika eneo la msikitini (Gedeli) walikuwa wanapita na mwili wana wanakwenda makaburini, dreva wetu akashuka fasta, akaenda akagusa mara moja kwenye jeneza halafu akarudi kwenye gari tukaendelea na safari.
 
Wengine wanataka kuhakikisha kama ni kwel umekufa au la

Kwahiyo unataka kusema kwamba kumbe wengi wao huwa ni Wadeni wako hivyo wanataka kujua kama Kifo chako ni Ivan Semwanga ( changa la macho / uwongo ) ili wajiridhishe na walifute deni lako lililotukuka mioyoni mwao au?
 
Ngoja na mie nisubirie wajuzi watasema nini, kwa kuwa ni jana tu nilipanda daladala tukafika eneo la msikitini (Gedeli) walikuwa wanapita na mwili wana wanakwenda makaburini, dreva wetu akashuka fasta, akaenda akagusa mara moja kwenye jeneza halafu akarudi kwenye gari tukaendelea na safari.

Natamani sana kujua ni kwanini hii hali huwa inajitokeza sana katika Misiba na bahati nzuri nimeziona Njemba mbili tatu huko ulipo Mlima mrefu kuliko yote barani Africa iking'ang'ania na kulazimisha tu kubeba na kugusa Jeneza la Taita wa Two Fingers wakati nawajua fika kuwa walikuwa ni Adui yao mkubwa Kimaendeleo, Kisiasa na Kimaslahi / Uchumi.
 
Ngoja na mie nisubirie wajuzi watasema nini, kwa kuwa ni jana tu nilipanda daladala tukafika eneo la msikitini (Gedeli) walikuwa wanapita na mwili wana wanakwenda makaburini, dreva wetu akashuka fasta, akaenda akagusa mara moja kwenye jeneza halafu akarudi kwenye gari tukaendelea na safari.

Kusindikiza jeneza ya aliyekufa kwanza ni sadaka unajipatia thawabu umebeba jeneza na kumsogeza, kila hatua unapata jema pili heshima

Tatu unapobeba jeneza japo kidogo ni mawaidha tosha kuwa ipo siku na ww utaingizwa kwenye jeneza ,utabebwa ..kifo kipo
 
Ni dini nzuri kumzika na kuwafariji wafu

Ndiyo hadi ung'ang'anie kulibeba na kuligusa Jeneza lake Mkuu? Mbona waliotuzidi Kimaendeleo na ambao kutwa tunawapigia magoti ya kuwaomba Misaada Wazungu / Waghaibuni wao huwa hawana Upupu / Upuuzi huu wa sisi Waafrika? Hivi kwanini Waafrika tunaongoza kwa kuwa na mambo / tabia za ajabu ajabu na za hovyo hovyo 24/7?
 
Ndiyo hadi ung'ang'anie kulibeba na kuligusa Jeneza lake Mkuu? Mbona waliotuzidi Kimaendeleo na ambao kutwa tunawapigia magoti ya kuwaomba Misaada Wazungu / Waghaibuni wao huwa hawana Upupu / Upuuzi huu wa sisi Waafrika? Hivi kwanini Waafrika tunaongoza kwa kuwa na mambo / tabia za ajabu ajabu na za hovyo hovyo 24/7?
Nenda kaishi na hao wazungu km huuthamini uafrika wako
 
Ukigusa jeneza mara nyingi zaidi unaongezewa siku za kuishi dunian

Nitafutie Tango Pori jingine tafadhali hili nimelikataa kwani kuna siku moja nilitangulizana na Mtu aliyegusa Jeneza wakati tunaenda Kumzika Mpendwa wetu na Yeye pia Kesho yake jina lake lilibadilika ghafla na hadi sasa anaitwa Marehemu. Mimi nadhani kung'ang'ani kubeba Jeneza hata kama haupo katika Kikosi cha Wabebaji ni kiherehere tu na kutaka sifa kwa Wageni Waombolezaji na kwa wale wanaong'ang'ania au kupenda kuyagusa tu Majeneza ya akina Marehemu lazima tu watakuwa ni Washirikina waliotukuka.
 
Nenda kaishi na hao wazungu km huuthamini uafrika wako

Ukiona Mtu yoyote yule anamchukia Mzungu au anawachukia Wazungu jua mahala sahihi kwa Yeye kwenda kusaidiwa ni Dodoma Hospitali ya Wagonjwa wa Akili. Mzungu ni Mungu au Wewe hujui? Katika hilo neno Mzungu ondoa hiyo herufi ( z ) iliyopo je linabaki neno gani Mkuu?
 
Back
Top Bottom