Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,617
- 34,062
Siasa za Marekani ziangalie kwa jicho la kiuchambuzi tu.Democrats kituko tu, Wanawawekea wananchi wa majimbo yao lockdown ila wao hawaitaki,
Bibi nancy Pelosi wa democrats alionyeshwa kwenye video kaenda saloon kutengeneza nywele zake wakati biashara kama hio ya saloon ilibidi ifungwe kwajili ya lockdown, Ila sababu wao ni wakandamzaji alimlazimisha mwenye saloon aifungue kwajili yake na video ilimonyesha hajavaa mask wala kuzingatia social distance.
Udhaifu wa democrats ndio sababu kuu hakuna wanaotaka kwenda hata kwenye kampeni za Biden, Watu wapo dam dam na trump saizi.
Maana mshajenga ufuasi msukuke tena. Mna moyo sana