Kakuwekea limbwata la pwani huyoTangu lini Magdalena akajua kupika?
Mapishi anajua Fatmah bwana....aah wacha nirudi home kwa bint yule mahari yangu imeenda kihalali.
Chakula kitamu kinahitaji limbwata? We bure kabisa....anajua kupika sijasema ananipelekesha mimi.Kakuwekea limbwata la pwani huyo
Ni nani amesema anakupelekesha?Chakula kitamu kinahitaji limbwata? We bure kabisa....anajua kupika sijasema ananipelekesha mimi.
Tulia dogo....we hata mke huna utajuaje mambo haya.Ni nani amesema anakupelekesha?
Acha kuwashwawashwa na umbea, umejuaje sina mke?Tulia dogo....we hata mke huna utajuaje mambo haya.
Huna.....mbuzi kasoro mkia we.Acha kuwashwawashwa na umbea, umejuaje sina mke?
Mama yako umemwacha wapi? Kifuasi cha bwn mudy...mpika wali wa manjano na hamira weye....!Huna.....mbuzi kasoro mkia we.
Ndipo akili yako ilipoishia? MamayoMama yako umemwacha wapi? Kifuasi cha bwn mudy...mpika wali wa manjano na hamira weye....!
Punguza munkar kiafuasi yakhee...ushavimbiwa na wali wa manjano na hamira?Ndipo akili yako ilipoishia? Mamayo
Sio mapishi tuWakristo wengi wetu hatujui kuremba mapishi,mke wangu mmoja wao and am fine with it.
kwa nini waangaike wakati wanauhakika wa ndoa? na wao wanajua ndoa sio tendo la ndoa peke yake bali ni mambo yote ya maisha ndo mana msukumo wa hawa wanawake ni kuhakikisha mwanaume anasomesha watoto vizuri na nyumba lazima ijengwe ikiwezekana na kagari.Sio mapishi tu
Hata kitandani magogo
Ile limit ya mke mmoja inawapa kiburi,wenzao wanajua wakizubaa tu mme anamletea mwenzie hivyo uno linaongezewa lubricants.Sio mapishi tu
Hata kitandani magogo
Supu inayowekewa mpaka mitangawizi hiyo supu tena ni mchuzi tu