Kwanini Migahawa ya Wakristo Tanzania haina chakula kizuri?

Wacheni hio habari kabisa asee...KFC na McDonald wanajadili kuongeza MATOKE na MTORI kwenye menu yao....nyie mnajadili sijui tui la nazi, bizari...sijui iliki sijui pilau... imefanya nini sijui.
 
the good thing is that, christians have never felt inferior towards muslims.
Sema tu wenzetu mnapenda kujishtujia.
 
Sio mapishi tu
Hata kitandani magogo
kwa nini waangaike wakati wanauhakika wa ndoa? na wao wanajua ndoa sio tendo la ndoa peke yake bali ni mambo yote ya maisha ndo mana msukumo wa hawa wanawake ni kuhakikisha mwanaume anasomesha watoto vizuri na nyumba lazima ijengwe ikiwezekana na kagari.
 
Back
Top Bottom