Kwanini Migahawa ya Wakristo Tanzania haina chakula kizuri?

I think mtoa MADA ulikuwa unacompare watu wa MWAMBAO WA PWANI NA WATU WA BARA, but otherwise your IQ is a bit slow
 
Bila kusaha CAFE LAAZIZI na KULAAN RESTAURANT mkuu
Utamu wa chakula hutegemea pia na mlaji. Ni suala la asili ya mtu.

Hapo mnasifia wazenji au wapemba kupika PILAU. Maana mnapenda pilau na mnasema wabara hawajui kuipika. Vipi hao wa pwani wanajua kupika UGALI ambao siye wabara tunaupenda? Ugali wa kipemba utasifiwa na msukuma?

Jadilini vitu vinavyoongeza vipato. Achaneni na hii mambo ya kitoto.
 
Mkuu ni kweli juu ya ndizi na mahindi, Latin America hicho bado ni chakula chao kikuu. Unshabatlri kuwa matoke yalitoka India?
Sikua najua kuhusu Matoke India. Nafahamu tu kuwa ndizi kwa ujumla zilitokea Amerika ya Kusini. Kwetu kupitia watu wa Asia au labda ndo hao wahindi. Kitaaaambo sana kabla ya ukoloni
 
Sikua najua kuhusu Matoke India. Nafahamu tu kuwa ndizi kwa ujumla zilitokea Amerika ya Kusini. Kwetu kupitia watu wa Asia au labda ndo hao wahindi. Kitaaaambo sana kabla ya ukoloni
Wahindi wanakula kama sisi, mihogo, matoke lakini wanapenda sana jamii ya maharage kulia wali na chapati
 
Mimi ni Mkristo!

Katika kusafiri safiri kwangu mikoani, nimegundua migahawa mingi iliyopo kanda ambazo zina wakristo wengi kama Mwanza, Arusha, Mbeya, Kilimanjaro, Iringa n.k. huwa na chakula kibaya sana. Migahawa inayofanya vizuri mara nyingi huwa inamilikiwa na Mama Zena, Hamisa, Hadija, Aisha, Mpemba, n.k. Majina ambayo huwa yana uhusiano na dini ya Kiislamu. Mke wangu ni mpishi mzuri sana, labda kwa sasa alibadiri dini; lakini nasikia wanawake wa kikristo mapishi kwao ni taabu!

Kuna tatizo gani la upishi katika Jamii ya Kikristo Tanzania?
kikoje chakula kizuri mimi ukiniwekea biriani na kichuri nachagua kichuri unavyoona muhaya na senene ukimpa pweza hali
 
Mabinti wa kiislamu hasa maeneo ya pwani na Zanzibar wanajua kupika hilo siyo siri
Hawa dada zetu wakristu acha wachukie tu huenda likawa somo la kuwafanya wajifunze
Japo wachaga waiga kutoka tanga ila wanakuja juu
Nadhani hapa kuna mchanganyo wa dini pasipo sababu. Hoja ingepaswa kuwa ufindi wa mapishi wa watu wa pwani, wawe wapagani au wa dini yotote. Kila kanda ina aina yake ya mapishi na pwani wako vizuri maana ukanda wa pwani ndiko kunastawi aina anwai za viungo vya mapishi kama vile nazi, vitunguu swaumu, pilipili manga, mdalasini nk wakati ukanda wa bara milimani ni hoho na karoti pekee.

Vv
 
Mimi ni Mkristo!

Katika kusafiri safiri kwangu mikoani, nimegundua migahawa mingi iliyopo kanda ambazo zina wakristo wengi kama Mwanza, Arusha, Mbeya, Kilimanjaro, Iringa n.k. huwa na chakula kibaya sana. Migahawa inayofanya vizuri mara nyingi huwa inamilikiwa na Mama Zena, Hamisa, Hadija, Aisha, Mpemba, n.k. Majina ambayo huwa yana uhusiano na dini ya Kiislamu. Mke wangu ni mpishi mzuri sana, labda kwa sasa alibadiri dini; lakini nasikia wanawake wa kikristo mapishi kwao ni taabu!

Kuna tatizo gani la upishi katika Jamii ya Kikristo Tanzania?
Niletee dadako nimpe sausage moja, mayai 2 na maziwa kidogo ashibe kwa muda wa miezi 9!!
 
Muda ambao wakristu wanautumia kusoma na kujiendeleza kielimu waislamu wao wamekalia kupika mapilau, kalmati, kachori, kwa mgawano huo wa kaz utakuta muslimu wao ni wataalamu wa mapishi ili hali ni kuwango chao cha elimu ni duni, madrasa kuita chuo sijui chuo kikuu wanaitaje sasa.
 
Nakubaliana moja kwa moja na mtoa mada. Nimelishudia mbele hilo wakuu na si Tanzania tu. WaPakistani ni watundu sana wamapishi kuliko wa WaHindustani. Tena tafauti ni kubwa sana. Ukisikia wahindi kusifika kwa kupika basi ni waPakistan. Na hata ndani ya india. Waislamu ndio mwisho wa matatizo. Mumbai, Hydrabad maeneo ya waislmau utainjoy mno msosi tafauti maeneo ya wahindu watupu.
 
Hii Kali. Ngoja nifanye uchunguzi... Nitaenda kula kwa kina merry, magret, nk nione...
 
Back
Top Bottom