Kwanini miaka 18 na isiwe miaka 17 au 16 au 15 na kushuka chini??

Issuna

JF-Expert Member
Sep 3, 2014
3,168
7,513
Kuna kitu mimi sijakielewa hadi leo kwanini kipo hivi katika hii nchi yetu kwa ujumla..hili swala la miaka 18 ndio iwe kipimo cha mtu anaejitambua limetokea wapi na chimbuko lake ni wapi?

Tukianza kwenye vyombo vya moto TANZANIA yetu unaambiwa muombaji yeyote wa Leseni lazima awe ametimiza miaka 18 na kuendelea na awe amepitia mafunzo..swali langu ni hapo kwenye hiyo 18??? nani kaiweka hapo kwanini isiwe 15 au kushuka chini??

Marekan,canada wao dereva anaweza kua hata wa miaka 14 anashika usukani na maisha yanaendelea..ila sisi huku tumekazania kwenye 18 Kwann hiii? sina tatizo na hiyo miaka ila nataka kujua tu vigezo gani vimetumika kusema MiAka 18 ni sahihi na sio 17 na kushuka huyu mpanga miaka ni nani??

Tukija kwenye kuoa na kuolewa mambo yale yale kitu kimesetiwa 18... najaribu kuwaza au huku mwilini mwetu kuna organ au sell zinapofika miaka 18 ndio zinaanza kufanya kazi??

Hili swali sina jibu nalo

18_logo.png


Hiii 18 ina nini? mbona kuna mitoto ina akili za ki utu uzima kabisa hadi ukiambiwa huyu ana miaka 11 unabaki unatoa macho...Vitu vingine nahisigi wazungu wametuletea kutuchelewesha ili wao watupige gepu sisi tukikazana kusubiria watoto wetu wafikishe miaka 18 wakati wao mitoto yao inafanya maajabu chini ya 18...
 
Mkuu age kati ya 14-18 wengi wanakuwa wanafunzi kwa hiyo ukiweka miaka 14 ndo kipimo cha utu uzima utakuwa unakosea maana utakuwa unayahalalisha yafuatayo.
1.Mimba za utotoni.
2.matumizi ya madawa ya kulevya kwenye umri mdogo
3.ndoa za utotoni
4.Ajira kwa watoto.
Matokeo yake ni kusababisha nchi kuwa na asilimia kubwa ya watu wazima wasio na future. Jiulize pamoja kuwa na vizuizi vyote vya umri bado kizazi cha vijana kinazidi kuharibika. Itakuwa vipi hivyo vizuizi vikishushwa?
 
Mkuu age kati ya 14-18 wengi wanakuwa wanafunzi kwa hiyo ukiweka miaka 14 ndo kipimo cha utu uzima utakuwa unakosea maana utakuwa unayahalalisha yafuatayo.
1.Mimba za utotoni.
2.matumizi ya madawa ya kulevya kwenye umri mdogo
3.ndoa za utotoni
4.Ajira kwa watoto.
Matokeo yake ni kusababisha nchi kuwa na asilimia kubwa ya watu wazima wasio na future. Jiulize pamoja kuwa na vizuizi vyote vya umri bado kizazi cha vijana kinazidi kuharibika. Itakuwa vipi hivyo vizuizi vikishushwa?
Mimi ninani hata nibishane na huukweli ulio andika hapa
 
Mkuu age kati ya 14-18 wengi wanakuwa wanafunzi kwa hiyo ukiweka miaka 14 ndo kipimo cha utu uzima utakuwa unakosea maana utakuwa unayahalalisha yafuatayo.
1.Mimba za utotoni.
2.matumizi ya madawa ya kulevya kwenye umri mdogo
3.ndoa za utotoni
4.Ajira kwa watoto.
Matokeo yake ni kusababisha nchi kuwa na asilimia kubwa ya watu wazima wasio na future. Jiulize pamoja kuwa na vizuizi vyote vya umri bado kizazi cha vijana kinazidi kuharibika. Itakuwa vipi hivyo vizuizi vikishushwa?
mbon mkuu kama kigezo ni wanafunzi..wapo wengi mpk kuanzia 14 hadi 25...kwanini basi isiwe 25? maana ukisema 14 - 18 bado ntakuuliza kwanini uweke umri huo na isiwe 12 - 19...kwann iwe 14 - 18?
 
mbon mkuu kama kigezo ni wanafunzi..wapo wengi mpk kuanzia 14 hadi 25...kwanini basi isiwe 25? maana ukisema 14 - 18 bado ntakuuliza kwanini uweke umri huo na isiwe 12 - 19...kwann iwe 14 - 18?
yani nataka ukinambia 14-18 unambie sababu za kuanza na 14 na sababu za kumalizia 18
 
Ingekuwa vyema mtu akibalehe ndio anakuwa mtu mzima
Na huo ndo uhalisia mkuu,hii miaka 18 nadhani ni maoni ya watu tu ambayo yanatudumaza tujione bado ni watoto.

Nakumbuka wakati nipo form four nilienda kijijini kwa bibi,nimefika kule kijana mwenye umri kama wangu eti ana mke,ana nyumba yake na ana shamba la mahindi,mikorosho n.k na ana mtoto mmoja,na anajitegea vizuri tu.

Wakati huo mimi namiliki begi la nguo peke yake.

Kwa ukiangalia unaona kwamba mtoto akibaleghe tu anakuwa mkubwa huyo,na inawezekana kabisaa holo sualaa bila shida yeyote.

Kuna dada mmoja alivunja ungo darasa la tatu wazazi wake wakalia sanaa na kuogopa kwamba angeharibika mapema,lakini walojitahidi kumtunza mpaka leo yupo chuo mwaka wa 3.

Imagine darasa la 3 amevunja ungo manake ni miaka 9,na akawa anajitambua vizuri bila shaka yeyotee Na maisha yanaenda.

MTU AKIBALEGHE NDO UTU UZIMA.period.
 
Mkuu age kati ya 14-18 wengi wanakuwa wanafunzi kwa hiyo ukiweka miaka 14 ndo kipimo cha utu uzima utakuwa unakosea maana utakuwa unayahalalisha yafuatayo.
1.Mimba za utotoni.
2.matumizi ya madawa ya kulevya kwenye umri mdogo
3.ndoa za utotoni
4.Ajira kwa watoto.
Matokeo yake ni kusababisha nchi kuwa na asilimia kubwa ya watu wazima wasio na future. Jiulize pamoja kuwa na vizuizi vyote vya umri bado kizazi cha vijana kinazidi kuharibika. Itakuwa vipi hivyo vizuizi vikishushwa?
Kwa hiyo kumbe sababu ya kuweka umri huu ni shulE.
Kwa maana wazee weetu wa zamani enzi hizo wakati hakuna shule walikuwa wana kipimo gani cha Kutambua utu uzima wa mtu...?

Vipi kwa watoto ambao walifeli hawakuenda shule,wao Wataingia katika kipimo cha hyo miaka 18..?

Mbona kuhusu madawa ya kulevya kuna waTu wazima na wakubwa tu wameathirika na hayo madawa ya kulevya wakiwa zaidi ya umri wa miaka 18,nao ni watoto ..?

Mpaka leo hujui kwamba hugo mzazi aliyesoma akaajiriwa na akazaa mtoto ndiyo huyo huyo mzazi anaenda mtaani kumtafuta mtoto asiyekuwa na kazi wa miaka 14 amlelee mwanae(housegirl)..?

Sasa Kama msomi anatafuta housegirl wa miaka 14 amlelee mwanae unadhani miaka 14 anaweza kumlea mtoto mwenzie..?

Kama Moaka 13 ni mtoto mbona analea mtoto wa bosi,atashindwa kumlea mtoto wake..?

Kama miaka 13 ni mtoto mbona anafanya kazi zote za ndani,atashindwa kufanya kazi za ndani akiwa kwake...?
 
yani nataka ukinambia 14-18 unambie sababu za kuanza na 14 na sababu za kumalizia 18
Saababu zao kubwa ni shule.


Lakini hao hao wasomi unadhani kwa nini ndo mabingwa wa kutafuta mahouse girl wa miaka 13 wakawalelee watoto wao huku wao wakiwa kazini..?

Unadhani Laiti wangeamini hasa kwamba miaka 14 ni mtoto wangempa majukumu ya kulea mtoto na kufanya kazi za ndani mkuu...?
 
Saababu zao kubwa ni shule.


Lakini hao hao wasomi unadhani kwa nini ndo mabingwa wa kutafuta mahouse girl wa miaka 13 wakawalelee watoto wao huku wao wakiwa kazini..?

Unadhani Laiti wangeamini hasa kwamba miaka 14 ni mtoto wangempa majukumu ya kulea mtoto na kufanya kazi za ndani mkuu...?
mimi ndio wanaponichanganya akili,,halafu aliewmbia miaka 18 mtu anakua kamaliza kusoma nani?? TANZANIA ni mfano halisi ni nani wa miaka 18 kamaliza Kusoma? ukiachilia kuacha shule mwenyewe...

Hamna mtu wa miaka 18 aliemaliza kusoma TZ...mi sazngine hawa wataaalamu nawaangaliaga nakosa hata majibu hii dunia tunaendeshwa na watu flani hv,kuna mtu akisema ki afya tunatakiwa kushinda njaa masaa 7 tutafata hvyo hvyo kisa n mtaalamu kasema...Hamna wa kuhoji kwanini masaa 7 na sio masaa 5 au 3..

Bongo tuna elimu ya Ndio Ndio Ndio...BISHA UONE.
 
mimi ndio wanaponichanganya akili,,halafu aliewmbia miaka 18 mtu anakua kamaliza kusoma nani?? TANZANIA ni mfano halisi ni nani wa miaka 18 kamaliza Kusoma? ukiachilia kuacha shule mwenyewe...

Hamna mtu wa miaka 18 aliemaliza kusoma TZ...mi sazngine hawa wataaalamu nawaangaliaga nakosa hata majibu hii dunia tunaendeshwa na watu flani hv,kuna mtu akisema ki afya tunatakiwa kushinda njaa masaa 7 tutafata hvyo hvyo kisa n mtaalamu kasema...Hamna wa kuhoji kwanini masaa 7 na sio masaa 5 au 3..

Bongo tuna elimu ya Ndio Ndio Ndio...BISHA UONE.
Mimi ndio maana kuna siku home Kuna jirani ALIKATAA MWANAWE KUOLEWA NA MIAKA 15 akiwa anadai eti bado ni mtoto.
Wakati huo huo anataka kumsafirisha mwanawe akafanye kazi za ndani dar.(ikiwemo na kulea mtoto)

Nikamuambia kwamba Kama ni mtoto unadhani ataweza kwenda kulea mtoto mwenzie ambae ni mtoto wa bosi wake huko dar.?

Kama ni mtoto unadhani ataweza kwenda kufanya kazi za ndani huko dar..?
Hapo hujapigia hesabu na vijana waharibifu nao kumtia mimba na kumrudisha kwao.
 
  • Thanks
Reactions: Auz
Lengo kuu la huu uzi ni kuhalalisha uharibifu wa watoto wa kike! Unafikiri kubalehe tu ni tiketi ya kuweza kuhimili majukumu mazito ya ndoa?

Upeo na ukomavu wa akili pia unahitajika katika kuhimili mikiki mikiki ya maisha na mahusiano! Wengine mpaka wanapata fistula na magonjwa ya via vya uzazi kwa sababu ya umri mdogo!

Serikali ibane hapo hapo!
 
Lengo kuu la huu uzi ni kuhalalisha uharibifu wa watoto wa kike! Unafikiri kubalehe tu ni tiketi ya kuweza kuhimili majukumu mazito ya ndoa?

Upeo na ukomavu wa akili pia unahitajika katika kuhimili mikiki mikiki ya maisha na mahusiano! Wengine mpaka wanapata fistula na magonjwa ya via vya uzazi kwa sababu ya umri mdogo!

Serikali ibane hapo hapo!
GODZILLA UPO MKUU...

hakuna mtoto ambaye amevunja ungo wala kubaleghe,umri wa mtoto mdogo ni miaka mingap kwani..?
 
Kuna vitu binadamu wanajitungia tu. Kipimo cha mtu kuwa ni mtu mzima ni mwanamke kuvunja ungo na mwanaume kutoa manii. Mungu ndiye aliyeweka hivyo. Kusema miaka 18 ndo utuuzima ni maisha ya kisiasa. Eti utasikia umri wa kuanza shule ni miaka 7, wakati wataalamu wa wanasema umri wa mtoto kuanza kujifunza ni miaka 2. Wazungu wameliona hilo kwamba miaka 18 sio kipimo kizuri cha mtu kuwa ndo amekuwa mtu mzima. Huyo mtu anakuwa tayari ameshaanza kuzeeka.
 
Hhhh c ndo hapo sasa...
Kuna vitu binadamu wanajitungia tu. Kipimo cha mtu kuwa ni mtu mzima ni mwanamke kuvunja ungo na mwanaume kutoa manii. Mungu ndiye aliyeweka hivyo. Kusema miaka 18 ndo utuuzima ni maisha ya kisiasa. Eti utasikia umri wa kuanza shule ni miaka 7, wakati wataalamu wa wanasema umri wa mtoto kuanza kujifunza ni miaka 2. Wazungu wameliona hilo kwamba miaka 18 sio kipimo kizuri cha mtu kuwa ndo amekuwa mtu mzima. Huyo mtu anakuwa tayari ameshaanza kuzeeka.
 
According to ILO, legal age for working force starts at 15 yrs, mara nyingi najiuliza kwanini mtu wa miaka hio akiajiriwa inakua kinyume cha sheria wakati hayupo katika dependants group? Na mashuleni tunakaririshwa hivyo.
 
Back
Top Bottom