Kwanini Mhe. Mbowe aliamua kubaki Dodoma siku Mhe. Lissu alipopigwa risasi wakati alitakiwa kuwepo Dar es Salaam

Akili yako finyu sana,hivi ule ulikuwa ni mkutano wa kwanza kufanyika ikulu ambao waalikwa pia walikuwa ni viongozi wa vyama vya siasa?Ni dhahiri jibu ni hapana,sasa kama unaakili timamu anza kujiuliza ni kwa nini mikutano ya nyuma walikuwa hawaendi?Kuhusu tuache polisi wafanye uchunguzi hill ni sahihi kabisa,maana jeshi letu linafanya kazi vizuri kabisa.Maana matukio yote yaliyowahi kufanyika hapo nyuma watuhumiwa walikamatwa.Pia hakuna upendeleo ktk kusimamia haki za kisiasa.Kuhusu bavicha kutotumia busara ni kweli hawajafanya vizuri,maana serikali yetu huwa inafanya maamuzi ya busara,wala haikurupuki kama swala la bomoabomoa.Pia viongozi wetu wa serikali maneno yao ni ya kufariji na si yakebehi.Kwa hali hii bavicha waige mfano wa viongozi wetu wa serikali ambao kila jambo wapo sahihi wala hawakosei.
 
Jumatano tarehe 06:
Kamati inasoma ripoti za Almasi na Tanzanite katika Viwanja vya Bunge Dodoma.

Anakabidhiwa Waziri Mkuu.

Waziri Mkuu anasema, " kesho SAA NNE asubuhi nitaikabidhi hii ripoti Kwa Mhe Rais Ikulu Dar es salaam"

Kwa tafsiri hiyo ina maana safari ya kwenda Dar ilianza Siku hiyo hiyo ya Jumatano jioni, ili wawahi ratiba ya kesho yake SAA NNE asubuhi.

Tarehe 07: Ripoti inakabidhiwa Ikulu.

Waliohudhuria ni kamati za Almasi na Tanzanite, Viongozi Wa Bunge akiwemo Speaker, Viongozi Wa vyama vya siasa akiwemo Prof Lipumba, wakuu Wa vyombo vya ulinzi na usalama.

Mhe Rais anazungumza "Tuliwaalika viongozi wote wa vyama vya siasa japo wengine hawajafika".

Mkuu Wa kambi ya upinzani Bungeni ambae pia ni mwenyekiti Wa Chama cha demokrasia na Maendeleo, hakufika licha ya kualikwa.

Siku hiyo hiyo ya Alhamisi tarehe 07 muda mfupi baada ya shughuli ya Ikulu kuisha, tunapata taarifa,

Mbunge Wa Singida Mashariki na Mwanasheria Mkuu Wa Chadema ameshambuliwa na Kwa risasi akiwa Dodoma,

Anaetoa taarifa ni mkuu Wa kambi ya upinzani Bungeni ambae ndie mwenyekiti Wa Chadema ambae yeye na viongozi wengine Wa Bunge walitakiwa kuwa Dar es salaam kuhudhuria makabidhiano ya Ripoti Kwa Rais na kwamba hiyo safari walitakiwa waianze jioni ya tarehe 06, Siku Moja kabla.

Ni yeye tu ambae hatujui kwanini alibaki Dodoma, na cha kushangaza yeye ndo alietoa taarifa na aina ya bunduki iliyotumika.

Katika Risasi zote 32, Kwa Bahati mbaya 5 zilimpata Mpendwa wetu Mhe Lissu,

Jamani katika hizo risasi 27 zilizopiga hewa, hakuna iliyomkwaruza dereva hata Moja, kwani Dereva alikimbia au alifanya nini?

Nikijiuliza sana nitaumwa kichwa,

Tuwaache Polisi wafanye kazi yao Kwa weledi mkubwa



Sent using Jamii Forums mobile app

Kumbuka mkuu wa mkoa kule kwenu nae alienda Dodoma sijui kufanya nini! Ama wanafahamiana na Mbowe?
 
Chacha wangwe alikufa kwa ajali ya kupinduka na gari,dereva wake hata mchanga haukumpata.Chadema namba ingine linapokuja suala la madaraka
Sasa polisi walikuwa likizo?Inamaana walikuwa hawajuwi kazi yao?Inamaana ccm imeshindwa kusimamia serikali?
 
Ha ha ha. Haijalishi. Wamekutana au hawajawahi kukutana?
Ni shida sana kujibishana na mgumu wa kuelewa! Hivi ukikutana na mwehu barabarani utadai ulikuwa naye ,mmekutana na mkafanya nini?

Msibani imekuwa forum ya kujadili mambo ya nchi tangu lini? Tupe ushahidi wa "mkutano rasmi wa kikazi wenye tija" siyo upuuzi wa kijiweni!
 
Ni shida sana kujibishana na mgumu wa kuelewa! Hivi ukikutana na mwehu barabarani utadai ulikuwa naye ,mmekutana na mkafanya nini?

Msibani imekuwa forum ya kujadili mambo ya nchi tangu lini? Tupe ushahidi wa "mkutano rasmi wa kikazi wenye tija" siyo upuuzi wa kijiweni!
Wamekutana au hawajawahi kukutana? Hiyo wamefanya nini sijui nini hainihusu. Aliyedai hawajakutana hakusema kwa mkutano rasmi wa kikazi wenye tija. Hayo ni maneno yako. Umesikia?
 
Akili ndogo inalazimisha akili kubwa ikubaliane nayo,wapi hii. Huwezi Kulazimisha fikra finyu yako hiyo watu wakahama kuamini kuwa chadema wanahusika kwa kumfanya Lissu kuwa kafara. Kwanza for whose benefit? Ushalewa pombe za buku ukaona sasa upost uccm wenu humu.
Tumereject your post, it is among the nonsnses ever posted here. Lumumba njooni upya, kama that the point you think should help in investigation try or think on another. Anyway you can admit it to the bureau investigation if you think it should work, else to me it has no use

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. Ndugai alivunja sheria kukimbiza report kwa anko wakati ilitakiwa ijadiliwe bungeni na iende na maazimio ya bunge so mbowe asingebariki ujinga uo
2. Pili jiulize Bashite alikua wapi siku io report inakabidhiwa wakati hata kama kuna sendoff kwa mkulu lazima anakuwepo
 
Acha kupotosha Mkuu. Haina uhusiano wowote hicho unachowaza akilini mwako, labda kama unafanya propaganda za kisiasa. Uhalisia haupo kwenye hoja yako
Usimbishie sana,it is a possibility.Wivu wa Lissu kuwika sana na kuwa-overshadow wengine inaweza kuwa sababu,ingawa hatu-rule out other possibilities!
 
...Hebu kwa wale waliotizama na kufuatilia mubashara hafla ile, wakati Mhe.Waziri mkuu anafanya protokali....ni kama alitambua na kushukuru uwepo wa Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Dar-es-Salaam.
...Naomba kusahihishwa kama nimekosea.
 
Back
Top Bottom