GuDume
JF-Expert Member
- Jan 18, 2015
- 6,652
- 14,247
hili nalo linakupa shida na kukufanya usilale? unataka uitwe wewe? mbona kuna mambo ya msingi ya kufikiria ila wewe umeamua kulia na mbowe tu kila siku? dada una mimba yake? why uwe na chuki kiasi hicho?
Nimemuongalia na kumsikiliza Jana Mh Mbowe alipokuwa anasema kuwa hakuna mtu yoyote anaruhusiwa kutoa za Tundu Lissu isipokuwa yeye tu aidha akiwa Nairobi au Dar es salaam inaonyesha Kuna jambo ameliona.
Lakini kwanini tunafikiri ameamua hivyo?
Familia yake Tundu Lissu waharuhusiwi kusema chochote nao kuhusu ndugu yao?
Hata Mke wa Tundu Lissu hatakiwi kabisa kuhojiwa na kueleza hali ya mime wake?
Uongozi wa Bunge hsurusiwi kusema chochote kuhusu Tundu Lissu?
TLS hawarusiwi kabisa kuongolea kuhusu Rais wao Tundu Lissu?
Au Mbowe alikuwa na maana tofauti kuhusu kuongea hali ya Tundu Lissu huko Nairobi?