kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,307
- 12,602
Corona ni ugonjwa hatari wa kuambukiza kwa njia ya hewa, Rais alitakiwa kufahamishwa kuwa sasa anaingia wodi ya wagonjwa wenye corona ili ajiandae kimwili na kiakili, pia ahiari mwenyewe kuingia au kutoingia wodi ile.
Rais ameonekana hadharani kushitushwa kwa kujikuta katikati ya wagonjwa wa corona kiasi cha kushindwa kuzuia kuonyesha hamaki na wasiwasi yake.
Kwani madhumuni ya kumpeleka mama kimyakimya kwenye wodi ile yakulikuwa ni nini?
Je, ni kwakuwa alivaa barakoa?
Je, nikumuonyesha kuwa kuna wagonjwa wa corona?
Je, njia ya kumwambia mkuu kuwa wahudumu wanahitaji vifaatiba na vya kujinga na corona
Je, kumwambia mkuu wanafanyakazi za hatari kuliko watu wengine kama walimu?
Je, ni kuangalia wajonjwa wote bila kubagua magonjwa
Au ni nini hasa kile?
Pia soma > Mwananyamala: Rais Samia ala kona baada ya kuambiwa wodi anayotaka kuingia ni ya wagojwa wenye matatizo ya kupumua
Rais ameonekana hadharani kushitushwa kwa kujikuta katikati ya wagonjwa wa corona kiasi cha kushindwa kuzuia kuonyesha hamaki na wasiwasi yake.
Kwani madhumuni ya kumpeleka mama kimyakimya kwenye wodi ile yakulikuwa ni nini?
Je, ni kwakuwa alivaa barakoa?
Je, nikumuonyesha kuwa kuna wagonjwa wa corona?
Je, njia ya kumwambia mkuu kuwa wahudumu wanahitaji vifaatiba na vya kujinga na corona
Je, kumwambia mkuu wanafanyakazi za hatari kuliko watu wengine kama walimu?
Je, ni kuangalia wajonjwa wote bila kubagua magonjwa
Au ni nini hasa kile?
Pia soma > Mwananyamala: Rais Samia ala kona baada ya kuambiwa wodi anayotaka kuingia ni ya wagojwa wenye matatizo ya kupumua