Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
Shikamooni wakubwa zangu wote wa humu jamiiforums. Mimi mdogo wenu Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty.
Eti, Kwanini Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) hawatoi tuzo kwa wanachama wanaokaa miaka mingi pasipo kuugua ili iwe motisha kwa wengine kuzidi kuzingatia kanuni za afya hivyo kukaa muda mrefu bila kuugua jambo litakaloiwezesha NHIF kupunguza kiwango cha fedha inacholipa kila mwezi kwenye vituo vya afya.
Kuna jamaa yangu ninakaa naye huku mtaani ni mtumishi wa kampuni moja ya mawasiliano ya simu pia ni mwanachama wa NHIF, anasema huu ni mwaka wa sita sasa hawajahi hata kumeza tu Paracetamol achilia mbali kuumwa malari. Kuna baadhi ya watu wanaumwa magonjwa sababu ya kutozingatia kanuni za msingi afya.
Watu kama hawa wanapaswa kupewa special recognition na NHIF ili wawe ni mfano wa kuigwa na wanachama wengine.
NHIF wanavyo vitega uchumi chungu nzima nimefanya nao kazi field attachment hivyo ninawajua vema.
Pesa za wanachama zinazungushwa hivyo wanapata sana faida
OUR MOTTO: KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Eti, Kwanini Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) hawatoi tuzo kwa wanachama wanaokaa miaka mingi pasipo kuugua ili iwe motisha kwa wengine kuzidi kuzingatia kanuni za afya hivyo kukaa muda mrefu bila kuugua jambo litakaloiwezesha NHIF kupunguza kiwango cha fedha inacholipa kila mwezi kwenye vituo vya afya.
Kuna jamaa yangu ninakaa naye huku mtaani ni mtumishi wa kampuni moja ya mawasiliano ya simu pia ni mwanachama wa NHIF, anasema huu ni mwaka wa sita sasa hawajahi hata kumeza tu Paracetamol achilia mbali kuumwa malari. Kuna baadhi ya watu wanaumwa magonjwa sababu ya kutozingatia kanuni za msingi afya.
Watu kama hawa wanapaswa kupewa special recognition na NHIF ili wawe ni mfano wa kuigwa na wanachama wengine.
NHIF wanavyo vitega uchumi chungu nzima nimefanya nao kazi field attachment hivyo ninawajua vema.
Pesa za wanachama zinazungushwa hivyo wanapata sana faida
OUR MOTTO: KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.