johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,607
- 141,429
Nipo katika shughuli ya msiba wa Kibonde nikiwa na rafiki yangu mbunge wa Mikumi mh Prof Jay.
Tupo na viongozi mbalimbali wakiongozwa na Rais mstaafu mh Kikwete, waziri Mwakyembe na RC Makonda.
Cha ajabu ni kama ilivyokuwa katika msiba wa Ruge na misiba mingine mingi tu jimboni kawe inayoshirikisha viongozi wa kisiasa na serikali, mbunge wetu Halima Mdee hayupo.
Mbunge wetu Halima Mdee jitahidi kutoa ushirikiano kwa wapiga kura wako hata kama unajua 2020 hautarudi mjengoni.
Maendeleo hayana vyama!
Tupo na viongozi mbalimbali wakiongozwa na Rais mstaafu mh Kikwete, waziri Mwakyembe na RC Makonda.
Cha ajabu ni kama ilivyokuwa katika msiba wa Ruge na misiba mingine mingi tu jimboni kawe inayoshirikisha viongozi wa kisiasa na serikali, mbunge wetu Halima Mdee hayupo.
Mbunge wetu Halima Mdee jitahidi kutoa ushirikiano kwa wapiga kura wako hata kama unajua 2020 hautarudi mjengoni.
Maendeleo hayana vyama!