Kwanini mbunge Musukuma anapenda kuwadharau wasomi wetu?

Nadhani atakuwa anawananga kina kabudi kiaina ,maana hao ndio wasomi uchwara hakuna la maana wamewahi kufanya zaidi ya kulamba viatu wanasiasa
 
Nchi hii hakuna wasomi. Msukuma yuko sahihi kabisa

Wasomi ndiyo wanapiga kelele kuilalamikia serikali juu ya ukosefu wa ajira. Tulitegemea wao ndiyo watatuzi wa tatizo hili badala yake wao ndiyo wanalikuza.

Bibi yangu maisha yake yote anaishi kwa kupambana na ametulea. Hawa wasomi uchwara hawana jipya mtaani
Na wewe lakini ni miongoni mwa hao wasomi wa nchi hii
 
hata mwanamke asiye na tako hukazana na " shiii, kwanza tako ni zito"
 
Nimesikiliza kwa makini wakati mbunge Musukuma akichangia leo bungeni, moja alikua akichangia kuhusu bajeti na kuwaita wataalamu wetu wa uchumi kua wataaalamu uchwara, hasa akitetea kuhusu wamachinga na kuondolewa barabarani hasa Kariakoo.

Hali iliopelekea Naibu Spika kumtaka aondoe neno hilo. Hivi kwanini mheshimiwa mbunge Musukuma kila akichangia anakua akiwasigina wasomi na kuwatukuza darasa la saba?

Hii inatokana na kutojiamini kwa kukosa elimu au kuna nini kafanyiwa na wasomi hadi chuki yake kufikia kiwango cha juu?

Au ndio kutaka kuwawini wananchi wengi ambao hawana elimu?

I don’t have education
I have inspiration, If I was educated I would be a damn full - Bob Marley

Don’t complicate your mind -Bob Marley

And what has been hidden from the wise and the prudent been revealed in the mouth of the toddlers” – Bob Marley
 
Labda tangu awashinde kwa hoja jimboni kwake akaona hawana maana. Kama jimboni kwake hakuna wasomi ningemdharau Msukuma.
 
Hakuna mtu anaye weza kumdharau mwenzie Kama huyo anayedharauliwa hajaonyesha Nia ya kudharauliwa.
Kama vile ambavyo mtu hawezi kutapeliwa mpaka atie Nia ya tamaa na kuingia kingi.
 
Back
Top Bottom