Kwanini Mbowe anakuwa sehemu ya mjadala wa bunge la bajeti pasipo na ulazima? Je, ni kwa sababu ni Mtu Maarufu?!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,780
141,667
Jana na Leo jina la mbunge wa zamani Freeman Mbowe limekuwa likitajwa tajwa sana bungeni huku wabunge wakipiga makofi na wengine vigelegele.

Nijuavyo mimi hili ni bunge la bajeti na Freeman Mbowe siyo mbunge na wala hajishughulishi na kazi za bunge

Kinachonishangaza wabunge wanapojadili mpango wa taifa wa maendeleo 2020/25 wanamrejea Mbowe.
Wanapojadili hotuba ya ofisi ya Waziri mkuu wanamrejea Mbowe kwamba kwanini bado ni mwenyekiti wa Chadema wakati ana mbunge mmoja tu.

Ndio najiuliza Freeman Mbowe ni nani katika bajeti ya nchi hii?

Au ni mtu maarufu sana ukimtajataja unapata kiki?

Niishie hapo.
 
Msukuma: taarifa

Ndungai: taarifa tafadhali mh msukuma

Msukuma: sisi wengine wa kijijini hatujui
maana ya njuka tunaomba tujue maana yake

Ndungai: haya ni mambo ya secondary kwa sababu hukufika huko huwezi yaelewa. Mh mdee umepokea taarifa?

Mdee: mtu mwenyewe umeishia la saba haya mambo tuachie sisi, njuka ni form one ambao wanatakiwa watulie kwanza kwa kuwa kuna watu wamewakuta ulieishia la saba tulia.

Bunge: hahahahahahaaaaa
 
Jana na Leo jina la mbunge wa zamani Freeman Mbowe limekuwa likitajwa tajwa sana bungeni huku wabunge wakipiga makofi na wengine vigelegele.

Nijuavyo mimi hili ni bunge la bajeti na Freeman Mbowe siyo mbunge na wala hajishughulishi na kazi za bunge

Kinachonishangaza wabunge wanapojadili mpango wa taifa wa maendeleo 2020/25 wanamrejea Mbowe.
Wanapojadili hotuba ya ofisi ya Waziri mkuu wanamrejea Mbowe kwamba kwanini bado ni mwenyekiti wa Chadema wakati ana mbunge mmoja tu.

Ndio najiuliza Freeman Mbowe ni nani katika bajeti ya nchi hii?

Au ni mtu maarufu sana ukimtajataja unapata kiki?

Niishie hapo.
Ukona hivi ujue WAJUMBE walio ndani ya mjengo:
1.Wamekosa UBUNIFU
2.Wamekosa MAONO(vision),
3.Wamekuwa wanaenda mwendo wa MAELEKEZO
4.Wajumbe wanaangalia maslahi yao binafsi.

WAJUMBE WAMEKOSA:
1.Ajenda
2.Utashi wa kusimamia masilahi ya wananchi
 
Usitegemee jambo jipya toka kwa wanao hudumu kwenye ilo jengo.Toka awamu ya kusifu na kuabudu ilivyoanza hakuna cha maana kilichozungumzwa toka kwa wale walio wengi zaidi ya kusema watu na kusifu na kuabudu.Na sasa hivi wako wenyewe unachotegemea nini.
 
Tatizo kubwa lipo kwenye alichokisema kuhusu wao
Kama wanavyohaha na ripoti ya CAG kwa kila mtu kujaribu kujieleza, na alichosema Mbowe kinawatesa kama inavyowatesa ripoti ya CAG...

Hayo yote ni matokea ya kutotaka kukosolewa.... Kila anayekosoa anaonekana muongo. MADHAMBI YAO YAPO HADHARANI SASA WANAHAHA

Nijuacho, kama Mbowe amesema uwongo, kuna mahakama... The same to CAG, badala ya wao kuhangaika kutaka kuuaminisha uma kuwa ameongea uwongo, WAKAMSHITAKI TU
 
Unafikiri wao nao hawataki kiki kama wewe unavyopata hapa jukwaani unapomtaja taja?!
Jana na Leo jina la mbunge wa zamani Freeman Mbowe limekuwa likitajwa tajwa sana bungeni huku wabunge wakipiga makofi na wengine vigelegele.

Nijuavyo mimi hili ni bunge la bajeti na Freeman Mbowe siyo mbunge na wala hajishughulishi na kazi za bunge

Kinachonishangaza wabunge wanapojadili mpango wa taifa wa maendeleo 2020/25 wanamrejea Mbowe.
Wanapojadili hotuba ya ofisi ya Waziri mkuu wanamrejea Mbowe kwamba kwanini bado ni mwenyekiti wa Chadema wakati ana mbunge mmoja tu.

Ndio najiuliza Freeman Mbowe ni nani katika bajeti ya nchi hii?

Au ni mtu maarufu sana ukimtajataja unapata kiki?

Niishie hapo.
 
Tumewaambia mara kadhaa , na labda turudie tena Bilionea Mbowe ndiye anayetoa Dira ya Taifa
Na uongozi siyo lazima uwe ikulu sijui kilingeni kwa andunje au ofisini wapi sijui! Mbowe anaongoza taifa, bunge linaenda atakavyo yeye! Tatizo tu, anaweza kusabisha tena bendera zipepee nusu mlingoti, mativii yaanze tena kuonesha wasanii wamevaa nguo nyeusi wanakaza nyuso wakiimbia kiongozi wa mhimili!🤣 Eti, neeeendaaaa!!
 
Usije shaangaa akaitwa na Bunge. Kama kiongozi wao anafile Mirembe unategemea wafuasi wake watakuwaje🤢
 
Jana na Leo jina la mbunge wa zamani Freeman Mbowe limekuwa likitajwa tajwa sana bungeni huku wabunge wakipiga makofi na wengine vigelegele.

Nijuavyo mimi hili ni bunge la bajeti na Freeman Mbowe siyo mbunge na wala hajishughulishi na kazi za bunge

Kinachonishangaza wabunge wanapojadili mpango wa taifa wa maendeleo 2020/25 wanamrejea Mbowe.
Wanapojadili hotuba ya ofisi ya Waziri mkuu wanamrejea Mbowe kwamba kwanini bado ni mwenyekiti wa Chadema wakati ana mbunge mmoja tu.

Ndio najiuliza Freeman Mbowe ni nani katika bajeti ya nchi hii?

Au ni mtu maarufu sana ukimtajataja unapata kiki?

Niishie hapo.
Pale ni kibarazan kwenye mkeka unaongea chochote tu utachojisikia
 
Bwashee, siku ukibahatika kwenda church uwe makini kusikiliza mahubiri ya neno lenyewe ili usiishie kuambulia mifano na explanations peke yake
 
Back
Top Bottom