Kajole
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 1,667
- 1,642
Jamani habari ya weekend?
Nilikuwa naangalia clip ya mashabiki wa soka walivyokuwa wakilazimisha kuingia uwanjani kuangalia mchezo wa Yanga vs TP Mazembe..
Sijawahi sikia au kuona eti gari la polisi la maji yale ya kuwasha limechelewa au limefika eneo la tukio likiwa halina maji lakini ni tofauti kabisa na GARI LA ZIMAMOTO ambalo mara nyingi litachelewa au litafika eneo la tukio halafu utaambiwa halina maji.
Kwanini mbinu za Washawasha zisitumike kwa Zimamoto?
Nilikuwa naangalia clip ya mashabiki wa soka walivyokuwa wakilazimisha kuingia uwanjani kuangalia mchezo wa Yanga vs TP Mazembe..
Sijawahi sikia au kuona eti gari la polisi la maji yale ya kuwasha limechelewa au limefika eneo la tukio likiwa halina maji lakini ni tofauti kabisa na GARI LA ZIMAMOTO ambalo mara nyingi litachelewa au litafika eneo la tukio halafu utaambiwa halina maji.
Kwanini mbinu za Washawasha zisitumike kwa Zimamoto?