youngsharo
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 2,491
- 500
Jamani mi sijafatilia michezo for not more than 1 week now but leo nilibahatika kudaka habari za michezo japo kwa juu juu nikasikia kwamba Yanga na Azam ndo wanashiriki.
Je ni nafasi ndo zimetolewa chache kwa nchi mwenyeji au iko vipi?
Je ni nafasi ndo zimetolewa chache kwa nchi mwenyeji au iko vipi?