Kwanini Mbatia hapatani na kila chama cha upinzani chenye nguvu?

Shapecha

Member
Oct 21, 2010
45
1
Kwa kumbukumbu zangu mimi tangia Mbatia achukue madaraka NCCR - Mageuzi sijawahi kuona anakua n urafiki wa chama cha upinzani chenye nguvu, Nikimaanisha hajawahi kuwa karibu na chama ambacho kinaichachafya CCM. Hii ipo evidenced na matukio kibao ambayo kayafanya against Wapinzani tangia alipochukua madaraka NCCR.
1. Alishawahi kuwawekea pingamizi wagombea wa CUF kule Pemba
2. Yeye ndiyo chanzo cha muunganiko wa upinzani ulioanza 2007 kuvunjika baada ya kuwa against na CHADEMA kule TARIME.
3. Sasa yupo karibu na CUF baada ya kuona CUF wapo karibu na CCM
4. Amewakataza wabunge wake wasiwe wabishi bungeni means wawe friendly kwa government.
5. Pia now anatumia advantage za chokochoko za CHADEMA thats why wengi waliotoka CHADEMA wameenda NCCR.
Kwa sababu hizo anaonekana yupo kwa ajili kubomoa upinzani siyo kujenga thats why wengine wanamuita kibaraka wa CCM.
Ni mtazamo tu!
 
Huyu jamaa haelewki, Kitendo cha Kutaka Kwenda Mahakamani kumpinga Halima pale Kawe kimenisikitisha sana, Mgombea wa CCM tu Hana hata hali halafu yeye kubwa zima linalalamika kwa kadada kama HM, Shame on you Mbatiwa.
 
gay-politician.jpg
 
He!! ameoa? mke wake ninani mbona mliyo ya sema nimakubwa sana kuna ushahidi wowote hata wakimazingira anayejua atupe ........khuuu !!! sidhani lakini kaulizake na matendo yake vina onyesha kama ni lijari vile
 
ameoa mkewe anafanya kazi NSSF....ila ukikaa nae karibu anavyoyapeleka macho juu mara kwa mara inastua kidogo
 
Kwa kumbukumbu zangu mimi tangia Mbatia achukue madaraka NCCR - Mageuzi sijawahi kuona anakua n urafiki wa chama cha upinzani chenye nguvu, Nikimaanisha hajawahi kuwa karibu na chama ambacho kinaichachafya CCM. Hii ipo evidenced na matukio kibao ambayo kayafanya against Wapinzani tangia alipochukua madaraka NCCR.
1. Alishawahi kuwawekea pingamizi wagombea wa CUF kule Pemba
2. Yeye ndiyo chanzo cha muunganiko wa upinzani ulioanza 2007 kuvunjika baada ya kuwa against na CHADEMA kule TARIME.
3. Sasa yupo karibu na CUF baada ya kuona CUF wapo karibu na CCM
4. Amewakataza wabunge wake wasiwe wabishi bungeni means wawe friendly kwa government.
5. Pia now anatumia advantage za chokochoko za CHADEMA thats why wengi waliotoka CHADEMA wameenda NCCR.
Kwa sababu hizo anaonekana yupo kwa ajili kubomoa upinzani siyo kujenga thats why wengine wanamuita kibaraka wa CCM.
Ni mtazamo tu!

nimependa mtazamo wako.
 
Anajulikana tangu zamani kuwa ni kibaraka mkubwa wa ccm. 2010 alisema hakuna mpinzani anayestahili kuchaguliwa kuwa rais Tz, eti hawajaandaliwa vema, ndiyo maana Halima alimpasha ukweli wake.
 
Kwa kumbukumbu zangu mimi tangia Mbatia achukue madaraka NCCR - Mageuzi sijawahi kuona anakua n urafiki wa chama cha upinzani chenye nguvu, Nikimaanisha hajawahi kuwa karibu na chama ambacho kinaichachafya CCM. Hii ipo evidenced na matukio kibao ambayo kayafanya against Wapinzani tangia alipochukua madaraka NCCR.
1. Alishawahi kuwawekea pingamizi wagombea wa CUF kule Pemba
2. Yeye ndiyo chanzo cha muunganiko wa upinzani ulioanza 2007 kuvunjika baada ya kuwa against na CHADEMA kule TARIME.
3. Sasa yupo karibu na CUF baada ya kuona CUF wapo karibu na CCM
4. Amewakataza wabunge wake wasiwe wabishi bungeni means wawe friendly kwa government.
5. Pia now anatumia advantage za chokochoko za CHADEMA thats why wengi waliotoka CHADEMA wameenda NCCR.
Kwa sababu hizo anaonekana yupo kwa ajili kubomoa upinzani siyo kujenga thats why wengine wanamuita kibaraka wa CCM.
Ni mtazamo tu!

Leo nimesadiki haya maneno.Ama kweli yasemwayo yapo.......
 
Anajulikana tangu zamani kuwa ni kibaraka mkubwa wa ccm. 2010 alisema hakuna mpinzani anayestahili kuchaguliwa kuwa rais Tz, eti hawajaandaliwa vema, ndiyo maana Halima alimpasha ukweli wake.

What.....Alisema hayo maneno kweli?
 
Leo nimesadiki haya maneno.Ama kweli yasemwayo yapo.......



Je mlisha wahi kumsikia anaogelea suala la EPA? yeye na Mdogo wake mbuge wa africa Mashariki yule dada wa NCCR mageuzi wanamteteta sana Mkapa Pamoja na Mramba. wao walinufaika kwa njia fulani je mbatai amtuzana hazina marehemu wa CCM ilkuwaje nao???
 
Sidhani kama baba amemchagua kwa hiari yake kutoka moyoni ..hili kama si shinikizo la baba mkubwa cameroon sidhani natia shaka sana maana si muda baba cameroon alisema kama hamtaki kishare second name yangu basi hakuna misaada.. Usikute huyu ndo katolewa kama sample ya kuwakilisha Cameoon..but any way who cares! Akapakuliwe chakula tu akishiba atawaachia na wengine..
 
Back
Top Bottom