Kwanini mawakala wa mashine za TRA hawatoi risiti wakati wenyewe wana-solve ishu ya risiti?

maddox

JF-Expert Member
Feb 27, 2010
1,294
2,711
Habarini wakuu. Natumaini mko poa sana, narudi kwenye hoja yangu. Hivi kwanini haya makampuni yanayo dili na kurekebisha mashine zile za EFD wenyewe sio watoa risiti?

Nashangaa maana tunawapelekea mashine zikizingua wazirekebishe lakini sasa balaa linakuja unaambiwa lipia huduma ukilipa unasubilia risiti anakuchana mtandao uko chini kwa hiyo risiti hamna. Are u serious??

Yaani umetengeneza yangu tatizo hilo hilo lakini yako uwezi kutengeneza au ndio mganga ajigangi? Tunasumbuliwa na hawa TRA ukikutwa hutumii mashine au haina charge ni balaa lakini hawa mashost zenu mnawaachia bure au hamjui ambacho kipo uko kwa hao jamaa zenu.

Karibuni tuchangie wadau hivi inakuwaje kuwaje hapo mtoa service ile ile ambayo wewe unaitaka yeye binafsi hawezi kujifanyia?
 
Ukipeleka kutengeneza simu kwa fundi ..huwa unapewa na rist ya efd pia!?......afu unatakiwa uelewe unaponunua mashine au spare ya efd ndo labda uombe rist .....sasa kwa mfano mashine imejiblock unataka fundi aiunblock unataka akupe risti!?
 
Ukipeleka kutengeneza cm kwa fundi ..huwa unapewa na rist ya efd pia!?......afu unatakiwa uelewe unaponunua mashine au spare ya efd ndo labda uombe rist .....sasa kwa mfano mashine imejiblock unataka fundi aiunblock unataka akupe risti!?
Hiyo ni huduma/service risiti lazima.

Kwa sheria ya kodi wanatakiwa watoe risiti wote hao uliowataja.

Mifumo mingi haipo rasmi kwa Tanzania hivyo ni vigumu sana EFD kutumika effectively.
 
Sasa ukiona hawataki kukupa risti c rekebisha mwenyew ....afu tatizo mnaponunua mashine huwa hamuelewi contract iliyopo .... mashine kikawaida service huwa ni free pale unaponunua ila spare ndo unatakiwa kununua naupewe rist .... issue inakuja ww ukipeleka ifanyiwe service means biashara yako isimame ....afu usitegmee jamaa adili na mashine yako unayotaka akufanyie free aache ambaye atamtoa ya maji .....sehem nyingine tumia akili ya kawaida ....afu sio Kila huduma unapewa rist .,.....unatakiwa uelewe hivyo ndo maana hata TRA wanajua sehem gani zinatakiwa kukusanya mapato kwa muda huo....shida yenu huwa mnakurupuka kununua bla kusoma mkataba wa manunuzi unavyosema
 
Sasa ukiona hawataki kukupa risti c rekebisha mwenyew ....afu tatizo mnaponunua mashine huwa hamuelewi contract iliyopo .... mashine kikawaida service huwa ni free pale unaponunua ila spare ndo unatakiwa kununua naupewe rist .... issue inakuja ww ukipeleka ifanyiwe service means biashara yako isimame ....afu usitegmee jamaa adili na mashine yako unayotaka akufanyie free aache ambaye atamtoa ya maji .....sehem nyingine tumia akili ya kawaida ....afu sio Kila huduma unapewa rist .,.....unatakiwa uelewe hivyo ndo maana hata TRA wanajua sehem gani zinatakiwa kukusanya mapato kwa muda huo....shida yenu huwa mnakurupuka kununua bla kusoma mkataba wa manunuzi unavyosema
Yaaan umeongea kama shoga la Kinigeria bob risk.............. kugombea haki za wanawake akati yeye shoga.........unaju ulichoandika au unafata ushabiki maandazi punga wewe
 
Ukipeleka kutengeneza simu kwa fundi ..huwa unapewa na rist ya efd pia!?......afu unatakiwa uelewe unaponunua mashine au spare ya efd ndo labda uombe rist .....sasa kwa mfano mashine imejiblock unataka fundi aiunblock unataka akupe risti!?
pale wanauza huduma na spare ........nimeenda kununua spare na huduma.........si natakiwa kupewa risiti....... sasa hapa kosa liko wapi.......sababu mbona mimi tra wananidai niwe na risiti uku hawajanipa mtaji wala kodi ya pango.......na wanasisitiza kabisa nitoe risiti la sivyo milioni 3 zitanihusu kama fine..........umechangia kishule shule au kupunguza tu hiyo shibe yako ya kipolo
 
Ukipeleka kutengeneza simu kwa fundi ..huwa unapewa na rist ya efd pia!?......afu unatakiwa uelewe unaponunua mashine au spare ya efd ndo labda uombe rist .....sasa kwa mfano mashine imejiblock unataka fundi aiunblock unataka akupe risti!?
Ile Kodi ya huduma unaiona ipo sawa?? Au umejibu kishabiki zaidi.......mtaji ujipe mwenyewe na baadaye watu waje kuchukua Kodi ya huduma ........kubabeki
 
Ukipeleka kutengeneza simu kwa fundi ..huwa unapewa na rist ya efd pia!?......afu unatakiwa uelewe unaponunua mashine au spare ya efd ndo labda uombe rist .....sasa kwa mfano mashine imejiblock unataka fundi aiunblock unataka akupe risti!?
Aisee... mbona unaniangusha mkuu? Kwamba service haina risiti? Hospital unavyoendaga kumuona specialist ukilipia si unapewa receipt? Ile si huduma umelipia? Receipt ni lazima. Si jambo geni ama la kushangaza ni vile tunajiendeshaga kienyeji. Ila suala la kodi ndo silipendii
Hebu wapunfuze hizo asilimia aisee
 
Sasa ukiona hawataki kukupa risti c rekebisha mwenyew ....afu tatizo mnaponunua mashine huwa hamuelewi contract iliyopo .... mashine kikawaida service huwa ni free pale unaponunua ila spare ndo unatakiwa kununua naupewe rist .... issue inakuja ww ukipeleka ifanyiwe service means biashara yako isimame ....afu usitegmee jamaa adili na mashine yako unayotaka akufanyie free aache ambaye atamtoa ya maji .....sehem nyingine tumia akili ya kawaida ....afu sio Kila huduma unapewa rist .,.....unatakiwa uelewe hivyo ndo maana hata TRA wanajua sehem gani zinatakiwa kukusanya mapato kwa muda huo....shida yenu huwa mnakurupuka kununua bla kusoma mkataba wa manunuzi unavyosema
Usiku mwema mkuu
Maana aibu nineipata mimi kwa niaba. Ni nini hiki. Nkiki mbe? Odeee mbee. Kulale mbee
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom