GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,518
- 108,793
1. Nidhamu mbovu ya Wachezaji Watatu Lamine Moro, Metacha Mnata na Michael Sarpong huku wengine wakipigana, kurogana hadharani na hata kutukanana.
2. Tabia mbaya ya Usodoma na Ugomola aliyonayo Kocha Mmoja kutokea kwa Wakikuyu iliyomkera Kipa Metacha.
3. Mwenyekiti Msolla na Injinia Hersi Kununiana Wiki ya Tatu sasa kutokana na Mapato ya Klabu kuhusiana na Uuzaji wa Jezi kutoonekana.
4. Karibia 95% ya Wachezaji wa Yanga SC kutomkubali Kocha Nabi na kutaka Mwambusi na ama Zahera au Kaze warejeshwe.
Tafadhali Maulid Kitenge na Yusuph Mkule wa Sports Arena ya Wasafi FM mnataka kusema haya Mambo yanayoendelea huko Kwenu Yanga SC hamyajui?
Basi kutokana na Unafiki wenu na kujifanya mnayafuatilia zaidi ya Simba SC leo GENTAMYCINE nimewapeni yanayoendelea katika Timu mnayoipenda ya Yanga SC hivyo anzeni pia Kuyasemea tena kwa kuyapa ' airtime ' kubwa kama mfanyavyo kwa Simba SC sawa?
2. Tabia mbaya ya Usodoma na Ugomola aliyonayo Kocha Mmoja kutokea kwa Wakikuyu iliyomkera Kipa Metacha.
3. Mwenyekiti Msolla na Injinia Hersi Kununiana Wiki ya Tatu sasa kutokana na Mapato ya Klabu kuhusiana na Uuzaji wa Jezi kutoonekana.
4. Karibia 95% ya Wachezaji wa Yanga SC kutomkubali Kocha Nabi na kutaka Mwambusi na ama Zahera au Kaze warejeshwe.
Tafadhali Maulid Kitenge na Yusuph Mkule wa Sports Arena ya Wasafi FM mnataka kusema haya Mambo yanayoendelea huko Kwenu Yanga SC hamyajui?
Basi kutokana na Unafiki wenu na kujifanya mnayafuatilia zaidi ya Simba SC leo GENTAMYCINE nimewapeni yanayoendelea katika Timu mnayoipenda ya Yanga SC hivyo anzeni pia Kuyasemea tena kwa kuyapa ' airtime ' kubwa kama mfanyavyo kwa Simba SC sawa?