Kwanini matangazo mengi ya radio yanabeza makabila haya?

King Kong III

JF-Expert Member
Oct 15, 2010
51,656
68,604
Wachaga,wapemba,wadigo,wamasai

Mgosi:Habari yakho mamushiii?
Mamushi:Nzuri tu mgosi
Mgosi:We um-beba khapuu la matunda mie nzani dondokaaaa,njoo nkupeee bhukuuuu

Mmasai:
Hatiendi kunywa pwombwe leo?

Kwanini wasiweke watu wanaoongea lugha straight kuliko ku-immitate rafudhi za makabila hayo?
 
Wachaga,wapemba,wadigo,wamasai

Mgosi:Habari yakho mamushiii?
Mamushi:Nzuri tu mgosi
Mgosi:We um-beba khapuu la matunda mie nzani dondokaaaa,njoo nkupeee bhukuuuu

Mmasai:
Hatiendi kunywa pwombwe leo?

Kwanini wasiweke watu wanaoongea lugha straight kuliko ku-immitate rafudhi za makabila hayo?
YES, una deliver message lakini na lazima iwe na FAN ndani yake...

Manka: mpelekee hiyo buku mkeo, hebu nipokee simu za maana......

kwetu mfaranyati pale-palee; nyumbi hi mbombi hili.
 
Back
Top Bottom