sababu ni ukubwa na umaarufu wa kabila,,wachaga,wahaya,wamasai nk;;;pili ni miongoni mwa makabila ambayo hayakupoteza uhasilia wake mpaka leo hivyo huleta mvuto kwa watazamaji na wasikilizaji...mwisho ni makabila yaliojikita kwenye biashara na ndo hasa nia ya matangazo hayo ilipo
Wameenea nchi Nzima!
Walikuibia nini maskini wewe?,