Skillionare
JF-Expert Member
- Nov 6, 2011
- 1,190
- 523
Nimesikiliza matangazo mengi ya kibiashara ktk radio ,tv, wanatumia lafudhi ya hawa wachaga..... (Mara chache wakurya wasukuma na wazenj)hivi makabila mengine kwenye matangazo lafudhi zake hazina mvuto kibiashara.