matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,521
- 15,147
Kuna tuhumu (sina uhakika labda ni wivu tu) kuwa matajiri wengi/wanasiasa/watu mashuhuri wengi afrika hutumia nguvu za kiganga na kishirikina kujizatiti.
Ila jambo la ajabu tabaka hili la watu, kama ilivyokuwa enzi za masinagogi hukaa viti vya mbele karibu na mtume na nabii mpunga pepo. Kwa ajabu zaidi huwezi kuona hawa wakuu hata mmoja wapo anagaragara chini kwa kuangushwa na mapepo.
Maswali
Je mapepo yanaheshimu vyeo vya watu?
Je kuna mapepo ya kitajiri na ya kimasikini?
Je wanajiamini kwa sababu wanajua mitume wengi ni feki?
Je matajiri, watu mashuhuri na wanasiasa ni watu watakatifu sana wasioweza kusumbuliwa na vipepo?
wazoefu wa mambo ya kipepo karibuni mtoe mitiririsho yenu hapa.
Ila jambo la ajabu tabaka hili la watu, kama ilivyokuwa enzi za masinagogi hukaa viti vya mbele karibu na mtume na nabii mpunga pepo. Kwa ajabu zaidi huwezi kuona hawa wakuu hata mmoja wapo anagaragara chini kwa kuangushwa na mapepo.
Maswali
Je mapepo yanaheshimu vyeo vya watu?
Je kuna mapepo ya kitajiri na ya kimasikini?
Je wanajiamini kwa sababu wanajua mitume wengi ni feki?
Je matajiri, watu mashuhuri na wanasiasa ni watu watakatifu sana wasioweza kusumbuliwa na vipepo?
wazoefu wa mambo ya kipepo karibuni mtoe mitiririsho yenu hapa.