Rwekaxa Autonomy
JF-Expert Member
- Apr 6, 2021
- 460
- 492
Heshma kwenu wadau,
Nimekuwa nikijiuliza Kwa nini kila nchi duniani isizalishe hela nyingi ili watu wao waondokane na umaskini hasa kwenye nchi zetu za Afrika na Asia.
Naomba kwa wabobezi mnisaidie hapo je hatuwezi kuzalishwa hela nyingi?
Au kiuchumi ,uzalishaji wa hela una gharama kubwa Sana?
NATANGULIZA SHUKRANI
Nimekuwa nikijiuliza Kwa nini kila nchi duniani isizalishe hela nyingi ili watu wao waondokane na umaskini hasa kwenye nchi zetu za Afrika na Asia.
Naomba kwa wabobezi mnisaidie hapo je hatuwezi kuzalishwa hela nyingi?
Au kiuchumi ,uzalishaji wa hela una gharama kubwa Sana?
NATANGULIZA SHUKRANI