ayubuchacha12
Member
- May 8, 2012
- 19
- 7
Mashirika haya ya hifadhi za jamii wanawekeza kwenye majumba, umeme, madaraja nakadharika. Umefika wakati sasa wawekeze kwenye madini kama kuchimba dhahabu, mafuta..n.k. Madini yanalipa sana.!!! Kwa nini mnashindwa kuwekeza kwenye madini...kuna tatizo au kikwazo kipi????