Kwanini Marekani ameruhusiwa kufungua tawi la Drug Enforcement Agency Tanzania?

The Evil Genius

JF-Expert Member
Mar 21, 2014
5,452
17,156
Ni kwanini Marekani ameruhusiwa kufungua tawi la Jeshi lake la Kupambana na Dawa za Kulevya Tanzania, Drug Enforcement Agency. Je jeshi la Polisi Tanzania hawana uwezo wa kudhibiti madawa ya kulevya?

Kinachonishangaza zaidi, bangi inaruhusiwa kutumiwa nchini Marekani ila hapa kwetu Marekani inakuja kukamata bangi, kwa nini Marekani isishauri serikalini kuruhusu bangi kama walivyofanya wao kule kwao?

Marekani wanasema mwaka jana walifungua tawi la jeshi la kupambana na madawa ya kulevya Tanzania.

 
Niulize.
Askari wanaotumika katika operation kama hii ni wazungu, ama ni askari wa kibongo?.
Najaribu kuimajeni mzungu kuja gehto kwangu kukamata bhangi!!
 
Ni kwanini Marekani ameruhusiwa kufungua tawi la Jeshi lake la Kupambana na Dawa za Kulevya Tanzania, Drug Enforcement Agency. Je jeshi la Polisi Tanzania hawana uwezo wa kudhibiti madawa ya kulevya?

Kinachonishangaza zaidi, bangi inaruhusiwa kutumiwa nchini Marekani ila hapa kwetu Marekani inakuja kukamata bangi, kwa nini Marekani isishauri serikalini kuruhusu bangi kama walivyofanya wao kule kwao?

Marekani wanasema mwaka jana walifungua tawi la jeshi la kupambana na madawa ya kulevya Tanzania.

ushaambiwa partnership. hata vyombo vya ulinzi huwa na partnership na taasisi za ulinzi za nje, ndio maana kunaaskari wanaoenda nje kusoma, wengine wa nje wanakuja nchini, ni mambo yao wanajua, ushirikiano.
 
"Ni kwanini Marekani ameruhusiwa kufungua tawi la Jeshi lake la Kupambana na Dawa za Kulevya Tanzania, Drug Enforcement Agency. Je jeshi la Polisi Tanzania hawana uwezo wa kudhibiti madawa ya kulevya?

Ni msaada na partnership into strengthening performance of our DCEA, Capacity building, Training and Joint investigation and surveillances.

Kumbuka Marekani ndio taifa linaloathirika sana na Biashara za madawa na mihadarati na wana uzoefu mkubwa wa kupambana nayo from the root chukulia mfano kesi ya Ally Haji Khatibu alias Shkuba ilianzia marekani kufanya surveillance kwenda Dubai then Southafrica ndio kukamatwa kwa kina Tiko ambao walikuwa chini ya Shkuba Cartel.haya mazoezi yanahitaji skilled personnel, fedha na International cooperation sasa Marekani anahitajika kwenye yote hayo. Equipements kama za surveillance, google positioning tracking vitu hivi huwezi kuvifanya kama nchi bila support ya Marekani.
 
Ni kwanini Marekani ameruhusiwa kufungua tawi la Jeshi lake la Kupambana na Dawa za Kulevya Tanzania, Drug Enforcement Agency. Je jeshi la Polisi Tanzania hawana uwezo wa kudhibiti madawa ya kulevya?

Kinachonishangaza zaidi, bangi inaruhusiwa kutumiwa nchini Marekani ila hapa kwetu Marekani inakuja kukamata bangi, kwa nini Marekani isishauri serikalini kuruhusu bangi kama walivyofanya wao kule kwao?

Marekani wanasema mwaka jana walifungua tawi la jeshi la kupambana na madawa ya kulevya Tanzania.

Kwao wanaruhusu bangi kwa ajili ya matibabu.
 
Ni kwanini Marekani ameruhusiwa kufungua tawi la Jeshi lake la Kupambana na Dawa za Kulevya Tanzania, Drug Enforcement Agency. Je jeshi la Polisi Tanzania hawana uwezo wa kudhibiti madawa ya kulevya?

Kinachonishangaza zaidi, bangi inaruhusiwa kutumiwa nchini Marekani ila hapa kwetu Marekani inakuja kukamata bangi, kwa nini Marekani isishauri serikalini kuruhusu bangi kama walivyofanya wao kule kwao?

Marekani wanasema mwaka jana walifungua tawi la jeshi la kupambana na madawa ya kulevya Tanzania.


Nadhani Sababu kuu walifungua kwa ajili ya kupambana na yale madawa ya kulevya yenye mtandao wa kimataifa kama cocaine na heroine, ila kwa Sababu Bangi pia Ni madawa ya kulevya hawawezi kubagua
 
Niulize.
Askari wanaotumika katika operation kama hii ni wazungu, ama ni askari wa kibongo?.
Najaribu kuimajeni mzungu kuja gehto kwangu kukamata bhangi!!
Ni wabongo mainly, wazungu wanaotoa msaada wa intelligence, Halafu sio kwa ajili ya hizo Bangi za geto,
Ni kwa ajili ya madawa ya kulevya yenye mtandao wa kimataifa kama cocaine na heroine, Bangi Basi iwe mashamba makubwa ya bangi
 
dea-meme.png
 
Back
Top Bottom