lendila
JF-Expert Member
- Sep 26, 2012
- 5,806
- 4,370
Hivi kwanini Marais wengine wastaafu kama vile Mwl. Nyerere na wenzake waliomtangulia Rais Magufuli wao hawasifi kwa kujenga miundo mbinu?
Swali ni je Marais wastaafu wakiongozwa na Mwl. Nyerere wao hawakujenga miundo mbinu kama Rais wetu mpendwa wa awamu ya 5?
Kila mara anaposifia Rais wetu mpendwa wa awamu ya 5 Rais Magufuli watu wengi wanajikita katika ujenzi wa miundo mbinu.
Swali linalokuja kwa wananchi walio wengi ni je, mbona marais wengine waliopita wao hawasifiwi kwa kujenga miundo mbinu?
Mwenye jibu tafadhali tunaomba atusaidie.
Swali ni je Marais wastaafu wakiongozwa na Mwl. Nyerere wao hawakujenga miundo mbinu kama Rais wetu mpendwa wa awamu ya 5?
Kila mara anaposifia Rais wetu mpendwa wa awamu ya 5 Rais Magufuli watu wengi wanajikita katika ujenzi wa miundo mbinu.
Swali linalokuja kwa wananchi walio wengi ni je, mbona marais wengine waliopita wao hawasifiwi kwa kujenga miundo mbinu?
Mwenye jibu tafadhali tunaomba atusaidie.