Kwanini Marais wengine huogopa kwenda kuongea na wasomi wa UDSM-Mlimani?

Mtego wa Noti

JF-Expert Member
Nov 27, 2010
2,591
1,599
Ndugu wana JF,

Wakati uhai wa Mwalimu Nyerere, alikuwa akienda pale UDSM kukutana na wanazuoni na kufanya nao mijadala mbalimbali ya namna ya kuendeleza nchi na dunia kwa ujumla. Hivi karibuni nimeshuhudia Marais wengi waliokuja baada ya yeye kama vile Mzee Ruksa, Mkapa na JeiKei wakikwepa sana kutia maguu yao katika viunga vya UDSM, mlimani na kukimbilia katika vyuo vichanga kama UDOM.

Je, hii inadhihirisha kuwa wanaogopa kukutana uso kwa uso na wasomi waliobobea pale Mlimani? Au kuna kingine zaidi?

Naomba majibu wanaJF...
 
Wasome wepi hao hawa wa aina ya Kitila mkumbo au aina ya Rweikaza mukandala na akina Bana??

Kinyume na unavyoweza kusema au kuwaza, niko hapa mlimani kwa miaka 10 sasa!

Hakuna agenda, pressure , misukumo na hali zozote tete (tension) zinazoweza kumyima usingizi rais wa sasa 9na hao waliopita) na awaze kwenda UDSM! hao wasomi wa caliber za enzi zile za Nyerere hawapo kwa sasa!

Usije ukafikiri eti kuna vichwa sana na hao akina JK wanaogopa kuja, NO! kila professor anawaza maisha yake, kila mwanafunzia anawaza apate wapi desa na kushinda kwenye viunga vya bodi ya mikopo!

Huwezi ukasema mtu kama Mkapa alikuwa anawaogopa! labda haumjui Mkapa!!! hakukuwa na msukumo wa wao kwenda mlimani, ila Mwinyi alikimalizia kile kizazi cha wale wasomi waliokuwa wanawaza maslahi ya taifa

Nenda mlimani leo hii,nenda utawala, utacheka sana, hakuna sehemu vitu vinafanyika baghala shaghala kama mlimani!

WANACHUO HAWA (KUANZIA WALIMU NA WANAFUNZI) wamejidharaulisha wao na kudharauliwa HAWANA ILE SAUTI YA MAMLAKA YA KUOGOPWA NA SERIKALI haipo! ndio wanachuo hawa wakimaliza wakishapata hatchbacks za mikopo na kupanga sinza, they dont care even to vote!

Kuna mengi yamesababishwa na hayo
 
Only those with intellectual confidence can face the likes of Shivji, Mvungi & Semboja!
 
Wasome wepi hao hawa wa aina ya Kitila mkumbo au aina ya Rweikaza mukandala na akina Bana??
Kinyume na unavyoweza kusema au kuwaza, niko hapa mlimani kwa miaka 10 sasa!

Hakuna agenda, pressure , misukumo na hali zozote tete (tension) zinazoweza kumyima usingizi rais wa sasa 9na hao waliopita) na awaze kwenda UDSM! hao wasomi wa caliber za enzi zile za Nyerere hawapo kwa sasa!

Usije ukafikiri eti kuna vichwa sana na hao akina JK wanaogopa kuja, NO! kila professor anawaza maisha yake, kila mwanafunzia anawaza apate wapi desa na kushinda kwenye viunga vya bodi ya mikopo!

Huwezi ukasema mtu kama Mkapa alikuwa anawaogopa! labda haumjui Mkapa!!! hakukuwa na msukumo wa wao kwenda mlimani, ila Mwinyi alikimalizia kile kizazi cha wale wasomi waliokuwa wanawaza maslahi ya taifa

Nenda mlimani leo hii,nenda utawala, utacheka sana, hakuna sehemu vitu vinafanyika baghala shaghala kama mlimani!

WANACHUO HAWA (KUANZIA WALIMU NA WANAFUNZI) wamejidharaulisha wao na kudharauliwa HAWANA ILE SAUTI YA MAMLAKA YA KUOGOPWA NA SERIKALI haipo! ndio wanachuo hawa wakimaliza wakishapata hatchbacks za mikopo na kupanga sinza, they dont care even to vote!

Kuna mengi yamesababishwa na hayo

NOw I understand... Inawezekana serikali ndio inawafanya wanachuo wawe busy kufikiri mikopo yao ili wakose muda wa kujadili matatizo ya Kitaifa. I agree with u 100%, lakini naona kama bado kuna vichwa makini kama akina Shivji, Lwaitama na wengine wachache ambao bado ni misumari ya hatari kwa kujenga hoja ukiondoa hao akina Mkandala na Bana ambao tayari wako kwenye mifuko ya CCM na ni mawakala wa CCM hapo Mlimani
 
Wasome wepi hao hawa wa aina ya Kitila mkumbo au aina ya Rweikaza mukandala na akina Bana??

Kinyume na unavyoweza kusema au kuwaza, niko hapa mlimani kwa miaka 10 sasa!

Hakuna agenda, pressure , misukumo na hali zozote tete (tension) zinazoweza kumyima usingizi rais wa sasa 9na hao waliopita) na awaze kwenda UDSM! hao wasomi wa caliber za enzi zile za Nyerere hawapo kwa sasa!

Usije ukafikiri eti kuna vichwa sana na hao akina JK wanaogopa kuja, NO! kila professor anawaza maisha yake, kila mwanafunzia anawaza apate wapi desa na kushinda kwenye viunga vya bodi ya mikopo!

Huwezi ukasema mtu kama Mkapa alikuwa anawaogopa! labda haumjui Mkapa!!! hakukuwa na msukumo wa wao kwenda mlimani, ila Mwinyi alikimalizia kile kizazi cha wale wasomi waliokuwa wanawaza maslahi ya taifa

Nenda mlimani leo hii,nenda utawala, utacheka sana, hakuna sehemu vitu vinafanyika baghala shaghala kama mlimani!

WANACHUO HAWA (KUANZIA WALIMU NA WANAFUNZI) wamejidharaulisha wao na kudharauliwa HAWANA ILE SAUTI YA MAMLAKA YA KUOGOPWA NA SERIKALI haipo! ndio wanachuo hawa wakimaliza wakishapata hatchbacks za mikopo na kupanga sinza, they dont care even to vote!

Kuna mengi yamesababishwa na hayo

Waberayo:

Wasomi wa Tanzania ni pathetic. Hiyo enzi ya Nyerere wanafunzi wa chuo kikuu walikuwa kwenye maisha ya hoteli ya kitalii wakati wananchi wa kawaida walikuwa na maisha duni. Na wengi ndio wanaoongoza nchi sasa. Sasa kama kuna kitu walijifunza kwenye kuongea kwao na Nyerere, mimi sikioni.
 
Ndugu wana JF, wakati uhai wa Mwalimu Nyerere, alikuwa akienda pale UDSM kukutana na wanazuoni na kufanya nao mijadala mbalimbali ya namna ya kuendeleza nchi na dunia kwa ujumla. Hivi karibuni nimeshuhudia Marais wengi waliokuja baada ya yeye kama vile Mzee Ruksa, Mkapa na JeiKei wakikwepa sana kutia maguu yao katika viunga vya UDSM, mlimani na kukimbilia katika vyuo vichanga kama UDOM. Je, hii inadhihirisha kuwa wanaogopa kukutana uso kwa uso na wasomi waliobobea pale Mlimani? Au kuna kingine zaidi? Naomba majibu wanaJF...:angry:

Hivi wewe bado unahesabu UDSM ni chuo, matatizo matupu yamejaa hapo kilimani, watu mabonzo na maconservatives wamejaa hapo nani aje, wanafunzi wanawaza kuingia bungeni na harakati za kisiasa masaa 24 , yaani kimebaki jina elimu ikovyuo vingine sio hapo, halafu enzi za nyerer angeenda waoi coz chuo kilikuwa hicho tu kimoja sasa unavingapi acha mawazo mgando wewe
 
Ndugu wana JF, wakati uhai wa Mwalimu Nyerere, alikuwa akienda pale UDSM kukutana na wanazuoni na kufanya nao mijadala mbalimbali ya namna ya kuendeleza nchi na dunia kwa ujumla. Hivi karibuni nimeshuhudia Marais wengi waliokuja baada ya yeye kama vile Mzee Ruksa, Mkapa na JeiKei wakikwepa sana kutia maguu yao katika viunga vya UDSM, mlimani na kukimbilia katika vyuo vichanga kama UDOM. Je, hii inadhihirisha kuwa wanaogopa kukutana uso kwa uso na wasomi waliobobea pale Mlimani? Au kuna kingine zaidi? Naomba majibu wanaJF...:angry:

There are many reasons why UDOM was built.
 
kwani pale kuna wasomi siku hizi? au ni mamuluki wa ccm tu? kwani si ndio hao wasomi waliotoa REDET/synovate? au nimesahau...
 
UDSM sasa hivi hamna kitu, kila mtu anafikiria kumfisadi mwenzake. Hata Wahadhiri wenyewe kwa wenyewe wanabaguana, wengine wanastahili kupewa nyumba wengine hawastahili, kwa ufupi ni ubinafsi na unafiki umejaa UDSM!
 
Msipotoshe hakuna chuo chenye uhuru kama UDSM hasa hasa vya umma,hata waadhiri
wanaweza tofautiana(boycott) na management na baadae wakaelewana.lakini nenda UDOM
uone wanafunzi wakitofautiana na mgt usiku usiku unafuatwa uanaondolewa Chuoni hadi kwenu and non back.but udsm wanafunzi waweza fukuzwa na baadae rudishwa.

waadhiri UDOM walitofautiana na mgt wakatimuliwa wakaambiwa hii sio UDSM,means no
democracy.udsm bado kuna vichwa ambavyo vinasumbua kama Lwaitama na havipatikani
anywhere na kama vinapatikana bado vinauoga au vinatishiwa na mgt zao.
udsm still a centre of democracy in tcu na ya kuigwa,JK anatambua hilo


'IF YUO HAVE NO CRITCS YOU'LL LIKELY HAVE NO SUCCESS'....Malcolm X
 
enzi za mwinyi alitaka kuja kuongea na wana UDSM wakati wa mgomo akaambiwa kama anataka kuja aongee English akaogopa akamtuma warioba
 
Jk alikuja akazomewa na wanafunzi..mpaka leo hajatia maguu tena.
 
Watakuwa wanaongea na msomi wetu namba moja, mh. Mwigulu Nchemba. Huyu anatosha kuwasemea na kuwajibia hao wasomi wote unaowafikiria.
 
Wasome wepi hao hawa wa aina ya Kitila mkumbo au aina ya Rweikaza mukandala na akina Bana??

Kinyume na unavyoweza kusema au kuwaza, niko hapa mlimani kwa miaka 10 sasa!

Hakuna agenda, pressure , misukumo na hali zozote tete (tension) zinazoweza kumyima usingizi rais wa sasa 9na hao waliopita) na awaze kwenda UDSM! hao wasomi wa caliber za enzi zile za Nyerere hawapo kwa sasa!

Usije ukafikiri eti kuna vichwa sana na hao akina JK wanaogopa kuja, NO! kila professor anawaza maisha yake, kila mwanafunzia anawaza apate wapi desa na kushinda kwenye viunga vya bodi ya mikopo!

Huwezi ukasema mtu kama Mkapa alikuwa anawaogopa! labda haumjui Mkapa!!! hakukuwa na msukumo wa wao kwenda mlimani, ila Mwinyi alikimalizia kile kizazi cha wale wasomi waliokuwa wanawaza maslahi ya taifa

Nenda mlimani leo hii,nenda utawala, utacheka sana, hakuna sehemu vitu vinafanyika baghala shaghala kama mlimani!

WANACHUO HAWA (KUANZIA WALIMU NA WANAFUNZI) wamejidharaulisha wao na kudharauliwa HAWANA ILE SAUTI YA MAMLAKA YA KUOGOPWA NA SERIKALI haipo! ndio wanachuo hawa wakimaliza wakishapata hatchbacks za mikopo na kupanga sinza, they dont care even to vote!

Kuna mengi yamesababishwa na hayo

Pap...pap... pap... pap... pap... pap... pap!
 
Back
Top Bottom