Mtego wa Noti
JF-Expert Member
- Nov 27, 2010
- 2,591
- 1,599
Ndugu wana JF,
Wakati uhai wa Mwalimu Nyerere, alikuwa akienda pale UDSM kukutana na wanazuoni na kufanya nao mijadala mbalimbali ya namna ya kuendeleza nchi na dunia kwa ujumla. Hivi karibuni nimeshuhudia Marais wengi waliokuja baada ya yeye kama vile Mzee Ruksa, Mkapa na JeiKei wakikwepa sana kutia maguu yao katika viunga vya UDSM, mlimani na kukimbilia katika vyuo vichanga kama UDOM.
Je, hii inadhihirisha kuwa wanaogopa kukutana uso kwa uso na wasomi waliobobea pale Mlimani? Au kuna kingine zaidi?
Naomba majibu wanaJF...
Wakati uhai wa Mwalimu Nyerere, alikuwa akienda pale UDSM kukutana na wanazuoni na kufanya nao mijadala mbalimbali ya namna ya kuendeleza nchi na dunia kwa ujumla. Hivi karibuni nimeshuhudia Marais wengi waliokuja baada ya yeye kama vile Mzee Ruksa, Mkapa na JeiKei wakikwepa sana kutia maguu yao katika viunga vya UDSM, mlimani na kukimbilia katika vyuo vichanga kama UDOM.
Je, hii inadhihirisha kuwa wanaogopa kukutana uso kwa uso na wasomi waliobobea pale Mlimani? Au kuna kingine zaidi?
Naomba majibu wanaJF...